Kutumia mtihani mmoja wa Taifa kupima wanafunzi wote sio sahihi, ni upotofu mkubwa

Hakuna haja ya kufanya hivyo. Ndio maana kufaulu kunaanzia divisheni 4. Ingekuwa kufaulu ni divisheni 1 pekee. Kungekuwa na haja ya kuangalia mfumo wa utahini ili jinsi ilivyo ibakie hivyo.

Muhimu serikali izidi kujitahidi kuboresha miundombinu ya kujisomea ili kufikia usawa kwa wote.

Napinga kabisa hoja yako ya kufaulu na divisheni. Kufaulu kwa divisheni 4 sio kufaulu kwa divisheni 1, sijui kama alopata divisheni 4 anaweza kukubaliwa kuingia chuko kikuuu. Pia panapokuja suali la ajira akitokea mwenye divisheni 1 na mwenye divisheni 4 wakiomba kazi moja basi mwenye divisheni 1 ndio anakuwa na chance zaidi ya kupata kazi hiyo, unless kama mwenye divisheni 4 baba yake ni kigogo au anajuana na muajiri. Lakini katika nchi yeyote ile ambapo kazi mtu hupata kwa kigezo cha elimu yake kufaulu pekee tu hakutoshi ila devisheni inakupa advantage.
 
Maana yangu ni kiwa wanafunzi wa shule za kidumu mfagio, kuni, mbolea,daladala na kushinda njaa kutwa wasipimwe kwa namna moja na wenzao ambao wako boarding/wana school buses/ wanafanyiwa usafi na wanakula pizza shuleni.
Maana yake hoja yako ni kuwa Shule za Kidumu mfagio zipewe mitihani miepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wengi sana waliofeli pia huko kwenye vidumu na mfagio na wakakosa fursa ya kuendelea mbele kielimu.

Kwa nchi yetu kuboresha miondombinu itachukua hata miaka 40 na pia wanafunzi wanazidi kuongezeka kila siku. Haya mapendekezo yangu na wengine waliounga hoja hii mkono yanaweza kuanza kutumika hata kesho kwa gharama nafuu kabisa na yakaleta tija kubwa.
Umefikiria mbali sana mkuu, ila mtihani kwa upande wangu hauna shida. Hata sisi tumefaulu kupitia hivyohivyo vidumu na ufagio. Suluhisho ni kuboresha miundombinu ya elimu tu kama walimu, maktaba, madarasa n.k
 
Mtoto wa kusomea shule iliyowekwa daraja ya kata - na apate hata B AU DIV II anaweza kuchaguliwa au kupewa kipaumbele ukilinganisha na yule wa B/DIV II kwenye shule ya level ya National School.

Ikumbukwe hata ukitathmini kwenye kata kuna shule ambazo zinaweza kuangukia daraja ya National....
Unajua sababu ya seikali kuruhusu shule za binafsi za private za msingi na sekondari nchini? Lengo moja lilikuwa kusaidia watoto wa maskini waende sekondari O LEVEL na A LEVEL

Mfano nitakupa wa mkoa wa kilimanjaro unaoongoza kwa kuwa na shule za private za msingi zaidi ya hamsini tena za bweni chukulia kila darasa lina watoto 35 jumla ni 1,750
Mara nyingi wakifanya mtihani wa darasa la saba huwa wanafaulu wote kutokana na ufundishaji na hupangiwa kwenda shule za sekondary O level za serikali sababu serikali haibagui lakini kinachojitokeza hao wote hawaendi kuripoti wanaenda zao O LEVEL PRIVATE.Hivyo wana create nafasi 1,750 kwa ajili ya watoto maskini wasio na uwezo wa kulipia private waingie sekondary.Kama tungekuwa na mfumo ambao private hazipo hao 1,750 wa maskini wasingekanyaga O LEVEL

Tunasogea mbele tena mtihani wa form four wakifanya shule za private huwa mara nyingi ndizo hufaulisha sana tuchukulie katika wale walioenda private 1500 ndio wamefanya vizuri kufaulu kwenda kidato cha tano.Na hapa serikali haibagui huwapangia wote bila kujali mtu kamaliza private au serikalini.Matokeo yale yale yanajirudia hao 1,500 hawaendi kuripoti shule za serikali wanaenda A LEVEL shule za private kama FEZA,MARIAN, CANNOSA, ST francis ,CENTENNIAL SEMINARY NK wANAWAPISHA tena hao wa kata 1,500 ambao kiukweli kama wangeamua hao 1,500 kubaki shule za SERIKALI hao wa maskini wasingekanyaga A LEVEL

Kwa hiyo ukitizama utagundua kuwa huyo mtoto wa chini kaachwa ashindane na wa chini wenzie tu kuanzia O LEVEL hadi A LEVEL Kugombea nafasi za sekondary O level na A Level sababu wenye uwezo hawako interested na hizo shule za serikali wala serikali haina haja ya sijui kuweka kipaumbele wala nini .Wa private toka msingi kuandikishwa haendi za serikali,O LEVEL pia haendi na A LEVEL pia haendi sasa serikali iweke upendeleo wa kumpendelea nani sekondari wakati wasoma private hawako interested hata wakiwepo hata asilimia moja hawafiki!!

Serikali kuruhusu private schools ni njia imesidia maelfu ya hao unaotaka wapendelewe kupendelewa kuanzia kuingia O level na A LEVEL
 
Napinga kabisa hoja yako ya kufaulu na divisheni. Kufaulu kwa divisheni 4 sio kufaulu kwa divisheni 1, sijui kama alopata divisheni 4 anaweza kukubaliwa kuingia chuko kikuuu. Pia panapokuja suali la ajira akitokea mwenye divisheni 1 na mwenye divisheni 4 wakiomba kazi moja basi mwenye divisheni 1 ndio anakuwa na chance zaidi ya kupata kazi hiyo, unless kama mwenye divisheni 4 baba yake ni kigogo au anajuana na muajiri. Lakini katika nchi yeyote ile ambapo kazi mtu hupata kwa kigezo cha elimu yake kufaulu pekee tu hakutoshi ila devisheni inakupa advantage.
Sasa nini kifanyike.?
Always mtu aliefeli kisa mazingira magumu kuna wengine walifaulu. Sasa hao waliwezaje?
Kwa hiyo unataka mtu apewe mtihani kulingana na alichosoma. Utakuwa umekwepa nini.! Si atakuwa incompetent bado kwa yule aliecover.
Sawa kafaulu kwa alichosoma lakini hakijakidhi mahitaji!
Ni bora mfumo uendelee hivi hivi ila mazingira ya kusoma yaboreshwe.
 
Napinga kabisa hoja yako ya kufaulu na divisheni. Kufaulu kwa divisheni 4 sio kufaulu kwa divisheni 1, sijui kama alopata divisheni 4 anaweza kukubaliwa kuingia chuko kikuuu. Pia panapokuja suali la ajira akitokea mwenye divisheni 1 na mwenye divisheni 4 wakiomba kazi moja basi mwenye divisheni 1 ndio anakuwa na chance zaidi ya kupata kazi hiyo, unless kama mwenye divisheni 4 baba yake ni kigogo au anajuana na muajiri. Lakini katika nchi yeyote ile ambapo kazi mtu hupata kwa kigezo cha elimu yake kufaulu pekee tu hakutoshi ila devisheni inakupa advantage.
Kwenye ajira labda serekalini ndo wanaangalia division. Private wanaangalia more than just the GPA score. Na uzoefu unaonyesha high scorers are not indeed competent kwenye sehemu ya kazi. Wale wa kati ndo unakuta wanaexcel sana sehemu za kazi. Why? Usaili kwenye ajira sasa hivi uangalia competencies na written nyingi huangalia hizo competencies pamoja na emotional intelligence. Wanasema ' hire for attitude - train for skills'. Unaweza kumpata graduate mwenye GPA ya 4.0 lakini very wrong attitude - Je utamuajiri kisa ana GPA score ya juu?

Na kuna waajiri pia wanaangalia chuo uliposomea....inakupa credit points.
 
Sasa nini kifanyike.?
Always mtu aliefeli kisa mazingira magumu kuna wengine walifaulu. Sasa hao waliwezaje?
Kwa hiyo unataka mtu apewe mtihani kulingana na alichosoma. Utakuwa umekwepa nini.! Si atakuwa incompetent bado kwa yule aliecover.
Sawa kafaulu kwa alichosoma lakini hakijakidhi mahitaji!
Ni bora mfumo uendelee hivi hivi ila mazingira ya kusoma yaboreshwe.
TWENDE kwa data hii kuonge jumla jumla hakusaidii

Taja digrii moja moja halafu sema haikidhi mahitaji yepi tusiongee kama walevi
 
Hakuna mtu aliyesema wanafunzi wa shule fulani wependelewe. Acha kufanya straw man arguement ili kupotosha. Tunachosema wanafunzi wanasoma katika mazingira tofauti sana, hata katika shule za serikali tu kuna utofauti mkubwa sana wa mazingira ya kusomea.

Kwa sababu wanafunzi wanasoma katika mazingira tofauti sana sio sahihi na zaidi sana ni uonevu kuwapima kwa mtihani mmoja.Hakuna upendeleo kuwapima wanafunzi kwa kiwango chao cha mazingira ya kusomea, ni suala la haki na ni kutumia common sense tu.
Unajua sababu ya seikali kuruhusu shule za binafsi za private za msingi na sekondari nchini? Lengo moja lilikuwa kusaidia watoto wa maskini waende sekondari O LEVEL na A LEVEL

Mfano nitakupa wa mkoa wa kilimanjaro unaoongoza kwa kuwa na shule za private za msingi zaidi ya hamsini tena za bweni chukulia kila darasa lina watoto 35 jumla ni 1,750
Mara nyingi wakifanya mtihani wa darasa la saba huwa wanafaulu wote kutokana na ufundishaji na hupangiwa kwenda shule za sekondary O level za serikali sababu serikali haibagui lakini kinachojitokeza hao wote hawaendi kuripoti wanaenda zao O LEVEL PRIVATE.Hivyo wana create nafasi 1,750 kwa ajili ya watoto maskini wasio na uwezo wa kulipia private waingie sekondary.Kama tungekuwa na mfumo ambao private hazipo hao 1,750 wa maskini wasingekanyaga O LEVEL

Tunasogea mbele tena mtihani wa form four wakifanya shule za private huwa mara nyingi ndizo hufaulisha sana tuchukulie katika wale walioenda private 1500 ndio wamefanya vizuri kufaulu kwenda kidato cha tano.Na hapa serikali haibagui huwapangia wote bila kujali mtu kamaliza private au serikalini.Matokeo yale yale yanajirudia hao 1,500 hawaendi kuripoti shgule za serikali wanaenda A LEVEL shule za private kama FEZA,MARIAN, CANNOSA, ST francis ,CENTENNIAL SEMINARY NK wANAWAPISHA tena hao wa kata 1,500 ambao kiukweli kama wangeamua hao 1,500 kubaki shule za SERIKALI hao wa maskini wasingekanyaga A LEVEL

Kwa hiyo ukitizama utagundua kuwa huyo mtoto wa chini kaachwa ashindane na wa chini wenzie tu kuanzia O LEVEL hadi A LEVEL Kugombea nafasi za sekondary O level na A Level sababu wenye uwezo hawako interested na hizo shule za serikali wala serikali haina haja ya sijui kuweka kipaumbele wala nini .Wa private toka msingi kuandikishwa haendi za serikali,O LEVEL pia haendi na A LEVEL pia haendi sasa serikali iweke upendeleo wa kumpendelea nani sekondari wakati wasoma private hawako interested hata wakiwepo hata asilimia moja hawafiki!!

Serikali kuruhusu private schools ni njia imesidia maelfu ya hao unaotaka wapendelewe kupendelewa kuanzia kuingia O level na A LEVEL
 
Una hoja ya maingi ila tatizo ni necta, wenzetu Kenya kabla ya kutunga mitihani wanafatilia shule zote kujua wamefundishwa mpaka wapi na wale walio nyuma wanahimizwa kuongeza juhudi halafu wanarudi mara ya pili kukagua, wakishakagua wanatunga mitihani pale wanafunzi walipoishiwa kufundiashwa lakinimpaka necta wamekazania kutunga kwa ajili ya syllabus.
Wakaguzi wa elimu wamekaa maofisini badala ya kufatilia wanafunzi wamefundishwa mpaka wapi
 
Hio nahisi itakua Tanzania for the first time kutokea duniani eti mitihani iwe tofauti!!!! Na Mama alishasema hatuwezi kujitenga kama kisiwa Duniani hapa
 
Unajua sababu ya seikali kuruhusu shule za binafsi za private za msingi na sekondari nchini? Lengo moja lilikuwa kusaidia watoto wa maskini waende sekondari O LEVEL na A LEVEL

Mfano nitakupa wa mkoa wa kilimanjaro unaoongoza kwa kuwa na shule za private za msingi zaidi ya hamsini tena za bweni chukulia kila darasa lina watoto 35 jumla ni 1,750
Mara nyingi wakifanya mtihani wa darasa la saba huwa wanafaulu wote kutokana na ufundishaji na hupangiwa kwenda shule za sekondary O level za serikali sababu serikali haibagui lakini kinachojitokeza hao wote hawaendi kuripoti wanaenda zao O LEVEL PRIVATE.Hivyo wana create nafasi 1,750 kwa ajili ya watoto maskini wasio na uwezo wa kulipia private waingie sekondary.Kama tungekuwa na mfumo ambao private hazipo hao 1,750 wa maskini wasingekanyaga O LEVEL

Tunasogea mbele tena mtihani wa form four wakifanya shule za private huwa mara nyingi ndizo hufaulisha sana tuchukulie katika wale walioenda private 1500 ndio wamefanya vizuri kufaulu kwenda kidato cha tano.Na hapa serikali haibagui huwapangia wote bila kujali mtu kamaliza private au serikalini.Matokeo yale yale yanajirudia hao 1,500 hawaendi kuripoti shule za serikali wanaenda A LEVEL shule za private kama FEZA,MARIAN, CANNOSA, ST francis ,CENTENNIAL SEMINARY NK wANAWAPISHA tena hao wa kata 1,500 ambao kiukweli kama wangeamua hao 1,500 kubaki shule za SERIKALI hao wa maskini wasingekanyaga A LEVEL

Kwa hiyo ukitizama utagundua kuwa huyo mtoto wa chini kaachwa ashindane na wa chini wenzie tu kuanzia O LEVEL hadi A LEVEL Kugombea nafasi za sekondary O level na A Level sababu wenye uwezo hawako interested na hizo shule za serikali wala serikali haina haja ya sijui kuweka kipaumbele wala nini .Wa private toka msingi kuandikishwa haendi za serikali,O LEVEL pia haendi na A LEVEL pia haendi sasa serikali iweke upendeleo wa kumpendelea nani sekondari wakati wasoma private hawako interested hata wakiwepo hata asilimia moja hawafiki!!

Serikali kuruhusu private schools ni njia imesidia maelfu ya hao unaotaka wapendelewe kupendelewa kuanzia kuingia O level na A LEVEL
Ukiangalia vizuri sitaki wapewe upendeleo - fair playing ground. Unavyosema wanaoenda Private wanawapa chance zao wale wengine wa shule za kawaida inaweza kuwa sawa lakini hadhi ya shule hizo ndio tatizo linapoanza. Maana uwe Feza halafu unapangiwa Shule ya Sekondari Ukwamani na A yako. Hiyo chance unayozungumzia ina maana wa kwangu hana uwezo basi anapata chance shule ya Sekondari ya Ukwamani ilimradi eti aenda hadi O Level. Utakuwa fair kama serikali?? Maana bado unamweka huyo mtoto kwenye vicious cycle of failure. Je, baada ya hapo uwezekano wa wao kuingia chuo kikuu unakuwa asilimia ngapi?

Kumbuka sasa hivi undergraduate degree ni basic maana kila mwanafunzi anapaswa awe nayo katika ulimwengu wa sasa hivi.
 
Kwenye ajira labda serekalini ndo wanaangalia division. Private wanaangalia more than just the GPA score. Na uzoefu unaonyesha high scorers are not indeed competent kwenye sehemu ya kazi.
Inategemea aina ya kazi

Kazi routine watu wenye low grade ndio hufaa sana

Zile za kufanya kwa mazoea isizo hitaji matumizi makubwa ya akili.Mfano mtu ana digrii ya chini ukimuweka mfano kuwa cashier ana spidi kubwa sana na anachangamka kuona wateja wanafurahi anapowahudumia kwa spidi na kicheko kichwa linavimba kuwa ona nilipata digrii ya chini lakini ona huku wateja wanavyonithamini!!!! kupata GPA kubwa ndio nini hamna lolote!!!

Kazi hiyo ukimpa mwenye akili zake mwenye GPA kubwa anaona hii kazi ya kijinga sana aweza toa hata barua ya kuacha kazi anataka sehemu ya kutumia akili .Akikaa hapo aweza poromoshea matusi hata wateja kwa kuichoka kazi

Kazi routine zinawafaa wenye vidigrii vya class ya chini nakubaliana na wewe.Lakini kazi inayotaka matumizi makubwa ya ubongo usije chukua mwenye ki GPA cha chini ataanza kelele ohh hii kazi ngumu kazi ya mabosi wananisukumia mimi nifanye!! kichwa kinaanza kupata moto!!! Lakini mwenye GPA kubwa hapo hadi anasikia raha akikutana na challenging job hilo ndio eneo lake la kujidai
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Ndio, ina maana wewe mpaka leo hujui kuwa mwanafunzi hasa wa shule za msingi na sekondari anapaswa apewe mtihani kulingana na alichofundishwa?!.

Na hiyo tu haitoshi, mitihani lazima iangalie uhalisia wa maisha halisi ya hawa wanafunzi kuanzia shuleni mpaka kwenye familia zao.

Kama tuna nia ya dhati kuhakikisha watoto wetu wanapata elimu bora ya kuwajengea uwezo wa kupambana na umaskini lazima tuhakikishe wanaipata hiyo elimu kwa ukamilifu wake ni sio ilimradi tu wameenda shule.
Sasa nini kifanyike.?
Always mtu aliefeli kisa mazingira magumu kuna wengine walifaulu. Sasa hao waliwezaje?
Kwa hiyo unataka mtu apewe mtihani kulingana na alichosoma. Utakuwa umekwepa nini.! Si atakuwa incompetent bado kwa yule aliecover.
Sawa kafaulu kwa alichosoma lakini hakijakidhi mahitaji!
Ni bora mfumo uendelee hivi hivi ila mazingira ya kusoma yaboreshwe.
 
Ndio, ina maana wewe mpaka leo hujui kuwa mwanafunzi hasa wa shule za msingi na sekondari anapaswa apewe mtihani kulingana na alichofundishwa?!.

Na hiyo tu haitoshi, mitihani lazima iangalie uhalisia wa maisha halisi ya hawa wanafunzi kuanzia shuleni mpaka kwenye familia zao.

Kama tuna nia ya dhati kuhakikisha watoto wetu wanapata elimu bora ya kuwajengea uwezo wa kupambana na umaskini lazima tuhakikishe wanaipata hiyo elimu kwa ukamilifu wake ni sio ilimradi tu wameenda shule.
Halafu baadaye ashindane na aliyesoma kila kitu. Si mnamtengenezea mazingira magumu ya ushindani. Maana atakuwa na content ndogo.
Ni bora kipimo kiwe kimoja. Kusitokee ubaguzi..!
 
Marekani hakuna mitihani ya kitaifa au ya majimbo kabisa, kila shule inawapa wanafunzi wake mtihani, kwa wakoloni wetu Uingereza mitihani inatungwa katika ngazi za majimbo sio mtihani mmoja tifa zima.
Hio nahisi itakua Tanzania for the first time kutokea duniani eti mitihani iwe tofauti!!!! Na Mama alishasema hatuwezi kujitenga kama kisiwa Duniani hapa
 
Back
Top Bottom