George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,907
Heshima kwenu wanajukwaa..!
Ni muda mrefu sana nimekua nikitumia miwani ya macho...
Kwasasa ninafikiria kuanza kutumia contact lenses,kwasababu matumizi ya miwani kuna wakati yananipa changamoto za utendaji katika mihangaiko yangu ya hapa na pale...
Ni wapi ninaweza kupata huduma ya contact lenses kwa mkoa wa Dar es Salaam..?
Hapa namaanisha mtaalamu ambaye atanifanyia vipimo ili kujua ni contact lenses za namna gani napaswa kutumia na mahali ambapo naweza kuzipata hizo contact lenses..!
Pia ni vyema nikafahamu na gharama zake..!
Natanguliza shukurani..!!!
Ni muda mrefu sana nimekua nikitumia miwani ya macho...
Kwasasa ninafikiria kuanza kutumia contact lenses,kwasababu matumizi ya miwani kuna wakati yananipa changamoto za utendaji katika mihangaiko yangu ya hapa na pale...
Ni wapi ninaweza kupata huduma ya contact lenses kwa mkoa wa Dar es Salaam..?
Hapa namaanisha mtaalamu ambaye atanifanyia vipimo ili kujua ni contact lenses za namna gani napaswa kutumia na mahali ambapo naweza kuzipata hizo contact lenses..!
Pia ni vyema nikafahamu na gharama zake..!
Natanguliza shukurani..!!!