God bell
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 590
- 210
Ndugu wana Jf naombeni kufahamu hili jambo. Mimi na mpenzi wangu huwa tunatumia condom, sasa inafika wakati anasema condom inamumiza pale tunapokuwa kwenye mapenzi. Na huwa anajisikia cöndom kuisha yale mafuta yake ndo maana inamuumiza. Sasa nilikuwa nauliza kama kuna jelly au mafuta yoyote ambayo yanaweza kutumika kuifanya condom isiumize na ambayo haitaifanya ipasuke au kuleta madhara kwenye njia ya uzazi. Nawasilisha.