mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Kwanini bado mnatumia C++ kwenye hii course?
Naona bado na ninyi mnakuwa wazembe au labda vyuo husika vinawaforce kufanya hivyo, labda nipate maelekezo kidogo hapa.
Maana naona PYTHON ndo imejaa vitu vingi muhimu vilivyopo kwenye hii course, but why mnadeal na algorithm pekee why not other issues tena kwa C++, why mnadeal na vector na text feature pekee.
Labda sijaeleweka ila tutaelewana mbele kwa mbele ninachoomba Muanze kutumia PYTHON KWENYE HIYO COURSE YA AI na si vinginevyo. Itakuwa poa sana.
Jaribuni kwenda na wakati.
Naona bado na ninyi mnakuwa wazembe au labda vyuo husika vinawaforce kufanya hivyo, labda nipate maelekezo kidogo hapa.
Maana naona PYTHON ndo imejaa vitu vingi muhimu vilivyopo kwenye hii course, but why mnadeal na algorithm pekee why not other issues tena kwa C++, why mnadeal na vector na text feature pekee.
Labda sijaeleweka ila tutaelewana mbele kwa mbele ninachoomba Muanze kutumia PYTHON KWENYE HIYO COURSE YA AI na si vinginevyo. Itakuwa poa sana.
Jaribuni kwenda na wakati.