J johnthebaptist JF-Expert Member May 27, 2014 83,876 141,811 Jan 6, 2017 #1 Kiukweli hali ni ngumu sana kwa hawa misheni town maana maafisa wa serikali wanaotumia dhamana zao kupiga dili wanakaribia kumalizwa na JPM
Kiukweli hali ni ngumu sana kwa hawa misheni town maana maafisa wa serikali wanaotumia dhamana zao kupiga dili wanakaribia kumalizwa na JPM
darcity JF-Expert Member Jul 20, 2009 8,718 16,932 Jan 6, 2017 #2 Wapiga dili ndio slogan ya kuficha udhaifu wa awamu hii.