Naomba mniambie njia rahisi ya kutuma mzigo mdogo kuingia Tanzania kutoka nje kama ASIA,AMERICA.ULAYA.e.t.c,EMS ni ghali kwa kilo moja utoza US $ 25,je kuna njia nyingine tofauti na hiyo ambayo ni nafuu zaidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.