Kutuma mzigo tanzania

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,957
1,352
Naomba mniambie njia rahisi ya kutuma mzigo mdogo kuingia Tanzania kutoka nje kama ASIA,AMERICA.ULAYA.e.t.c,EMS ni ghali kwa kilo moja utoza US $ 25,je kuna njia nyingine tofauti na hiyo ambayo ni nafuu zaidi?
 

Maria Roza

JF-Expert Member
Apr 1, 2009
6,795
1,557
Jaribu watu wa ndege bei sio mbaya sanduku la kg 23 inaweza kuwa paundi 80 kutoka Uk kwenda bongo!
 

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,957
1,352
shukrani Maria..lakini nchi ninayokaa hakuna direct flight to bongo...lazima kutansfer Amsterdam au Doha au Dubai .et.c sasa nifanyeje hapo?
 

kisu

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
972
342
Google Nile Cargo, wapo US (Massachusetts), kwa kutuma mzigo toka US!!
Nilishatuma kupitia kwao to TZ.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom