kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 404
Kabla sijapoteza mzigo wangu naomba kwa anayefahamu ruti ya Bukoba to imIringa via Kahama anifahamishe kuna mzigo muhimu unatakiwa utumwe kutoka Bukoba ili niupokee Iringa Mjini kupitia konda wa basi hizo.
Wazo langu la mwanzo niliwaza kuwa apatiwe konda wa gari zinazofika hadi Kahama halafu akifika Kahama amkabidhi konda wa basi zinazotoka Mwanza to Mbeya hizi Isamilo Express.
Sidhani kama nipo sahihi.
Wazo langu la mwanzo niliwaza kuwa apatiwe konda wa gari zinazofika hadi Kahama halafu akifika Kahama amkabidhi konda wa basi zinazotoka Mwanza to Mbeya hizi Isamilo Express.
Sidhani kama nipo sahihi.