Kutosajiliwa chuo cha global college, dsm tanzania

Somoleo

Member
Sep 22, 2010
13
1
HABARI WANAJAMII WOTE

NASHUKURU KUJIUNGA NA WANAJAMII WENZANGU ILI KULETA HOJA, ELIMU NA MABADILIKO KATIKA JAMII PALE PANAPOWEZEKANA.
NIKIWA MMOJA KATI YA WATU WANAOPENDA MAENDELEO KIELIMU, NIMEKUJA FAHAMU KWAMBA CHUO CHA GLOBAL COLLEGE, DSM TANZANIA BADO HAKIJASAJILIWA (i.e. NACTE) WALA KUTAMBULIWA NA TAASISI YA VYUO TANZANIA.

HALI HII INAFANYA WAHITIMU WA CHUO HICHO (i.e. CERTIFICATES AU IPLOMA GRADUATES) KUTOSAJILIWA KATIKA VYUO VINGINE (i.e. IFM, CBE, UDSM n.k.) NA PIA KUONEKANA NI WADUNI KIELIMU PALE WANAPOOMBA KAZI BAADHI YA MAENEO.
HOJA YANGU NI KWAMBA:
1) INAKUWAJE CHUO WANARUHUSIWA KUJITANGAZA SANA WAKATI HAKINA USAJILI.
2) IDARA NA TAASISI ZA SERIKALI ZIPO NA ZINASHINDWA KUFUNGA VYUO KAMA HIVI? E KUNA WAHESHIMIWA WANA HISA ZAO HUKO?

3) WATANZANIA WANALIPA ADA HAPO ILI KUSOMA LAKINI WANASHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VINGINE WANAPOHITAJI, HUU SI WIZI!!!


Somoleo
 
ni vizuri suala hili umeliweka ktk jukwaa hili ili ukweli utafutwe, pamoja na hayo mwanafunzi ana part ya lawama kwani, unawezaje kujisajili na chuo ambacho hakijasajiliwa? kabla hujajisajili hujafanya utafiti kidogo, pili wenye chuo wanashindwa nini kusajili kwani kuna vyuo vingi vidogo kuliko hicho vimesajiliwa, je ni lack of seriousness au kuna sababu nyingine?
 
habari wanajamii wote

nashukuru kujiunga na wanajamii wenzangu ili kuleta hoja, elimu na mabadiliko katika jamii pale panapowezekana.
Nikiwa mmoja kati ya watu wanaopenda maendeleo kielimu, nimekuja fahamu kwamba chuo cha global college, dsm tanzania bado hakijasajiliwa (i.e. Nacte) wala kutambuliwa na taasisi ya vyuo tanzania.

Hali hii inafanya wahitimu wa chuo hicho (i.e. Certificates au iploma graduates) kutosajiliwa katika vyuo vingine (i.e. Ifm, cbe, udsm n.k.) na pia kuonekana ni waduni kielimu pale wanapoomba kazi baadhi ya maeneo.
Hoja yangu ni kwamba:
1) inakuwaje chuo wanaruhusiwa kujitangaza sana wakati hakina usajili.
2) idara na taasisi za serikali zipo na zinashindwa kufunga vyuo kama hivi? E kuna waheshimiwa wana hisa zao huko?

3) watanzania wanalipa ada hapo ili kusoma lakini wanashindwa kujiunga na vyuo vingine wanapohitaji, huu si wizi!!!


Somoleo

rushwa,,,au ujasoma somo la rushwa shule ya msingi na jinsi ya kumtumia utoke mapema kimaisha
 
Hii ni nchi ya kitu kidogo, au umesahau kuwa Kikwete alisema ukitaka kula lazima na wewe uliwe.
KUDADADEKI.
HABARI WANAJAMII WOTE

NASHUKURU KUJIUNGA NA WANAJAMII WENZANGU ILI KULETA HOJA, ELIMU NA MABADILIKO KATIKA JAMII PALE PANAPOWEZEKANA.
NIKIWA MMOJA KATI YA WATU WANAOPENDA MAENDELEO KIELIMU, NIMEKUJA FAHAMU KWAMBA CHUO CHA GLOBAL COLLEGE, DSM TANZANIA BADO HAKIJASAJILIWA (i.e. NACTE) WALA KUTAMBULIWA NA TAASISI YA VYUO TANZANIA.

HALI HII INAFANYA WAHITIMU WA CHUO HICHO (i.e. CERTIFICATES AU IPLOMA GRADUATES) KUTOSAJILIWA KATIKA VYUO VINGINE (i.e. IFM, CBE, UDSM n.k.) NA PIA KUONEKANA NI WADUNI KIELIMU PALE WANAPOOMBA KAZI BAADHI YA MAENEO.
HOJA YANGU NI KWAMBA:
1) INAKUWAJE CHUO WANARUHUSIWA KUJITANGAZA SANA WAKATI HAKINA USAJILI.
2) IDARA NA TAASISI ZA SERIKALI ZIPO NA ZINASHINDWA KUFUNGA VYUO KAMA HIVI? E KUNA WAHESHIMIWA WANA HISA ZAO HUKO?

3) WATANZANIA WANALIPA ADA HAPO ILI KUSOMA LAKINI WANASHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VINGINE WANAPOHITAJI, HUU SI WIZI!!!


Somoleo
 
Back
Top Bottom