mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Hapa TZ. Internate cafe nyingi haziruhusu kutumia. Laptops kwenye cafes zao na kama wanarusu basi bei ya muda wa kutumia huwa mara mbili zaidi kulinganisha kama ungetumia PC za cafe sijui tatizo liko wapi,naamini kutokana na mabadiliko ya nyakati ni muhimu watoa huduma au wamiliki wabadilike sioni kwanini kutumia Laptops mtu alipie mara mbili zaidi.