Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 286
Nini sababu ya mtu aliyepata divisheni ziro kutopewa cheti cha kidato cha nne au cha sita? Si ni matokeo aliyoyapata baada ya kushiriki mitihani? Kitamsaidiaje, hiyo ni yeye mwenyewe atajua, Gharama za cheti - si alilipia, pia sialilipia mitihani sawa na wenziwe? Ziro si ni moja tu ya matokeo ya mitihani? Kwani ziro inaweza kutolewa kwa mtu asiyefanya mtihani? Naomben majibuView attachment 1103205