Inamonga
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 779
- 472
Habari waungwana..
Nilikuwa na kesi pale CMA iliyo tolewa hukumu mwaka jana mwezi wa nane..
Upande wa pili waliomba revision kwa hiyo kesi ikaenda high court..
Sasa tangia wakati huo, jalada halionekani, nimejaribu kuonana na hakimu husika, incharge wake, mkurugenzi mkuu lakini bila mafanikio...
Naombeni msaada kwa uzoefu mlio nao, nn kifanyike?
Nilikuwa na kesi pale CMA iliyo tolewa hukumu mwaka jana mwezi wa nane..
Upande wa pili waliomba revision kwa hiyo kesi ikaenda high court..
Sasa tangia wakati huo, jalada halionekani, nimejaribu kuonana na hakimu husika, incharge wake, mkurugenzi mkuu lakini bila mafanikio...
Naombeni msaada kwa uzoefu mlio nao, nn kifanyike?