shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,510
Kuna mtoto wa mwenye nyumba kamaliza certificate ya law chuo cha pale magogoni. Karibu aliomba awe anatumia friji langu kutunza mabarafu yake nikaona sawa tu sababu liko on muda wote.
Sijawahi kuwa na mazoea naye nilikuwa namchukulia kama mdogoangu ila ukaribu siku zote huleta mapenzi. Nikagundua kashakuwa na natakiwa kufanya kile kinachotakiwa jana nikamwandikia ujumbe kwenye ki notebook cha kumtongoza nikaacha juu ya friji leo alivoleta mabarafu kausoma akakubali na maombi juu nimnunulie simu na kumfungulia biashara ili asiwe anashinda home.
Kuhusu simu nilipanga kumpa kabla sababu hakuwa nayo ila kitendo cha kuomba vitu siku ya kwanza tu nilipomtongoza imenivunja moyo nione ni binti wa ovyo ambaye natakiwa kumtafuna na kumuacha tu. Hivi wanawake hawawezi vumulia kuomba omba angalau kwa siku za mwanzo na ukizingatia nipo hapa hapa kwao sikimbii.
Sijawahi kuwa na mazoea naye nilikuwa namchukulia kama mdogoangu ila ukaribu siku zote huleta mapenzi. Nikagundua kashakuwa na natakiwa kufanya kile kinachotakiwa jana nikamwandikia ujumbe kwenye ki notebook cha kumtongoza nikaacha juu ya friji leo alivoleta mabarafu kausoma akakubali na maombi juu nimnunulie simu na kumfungulia biashara ili asiwe anashinda home.
Kuhusu simu nilipanga kumpa kabla sababu hakuwa nayo ila kitendo cha kuomba vitu siku ya kwanza tu nilipomtongoza imenivunja moyo nione ni binti wa ovyo ambaye natakiwa kumtafuna na kumuacha tu. Hivi wanawake hawawezi vumulia kuomba omba angalau kwa siku za mwanzo na ukizingatia nipo hapa hapa kwao sikimbii.