AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #41
Asilimia 95% ya wanawake wa sasa wanaolewa kwa sababu ya material. Wao ni materialistic in nature.
Tena fenicha ndo kigezo kinachowavutia wengi.
Fenicha zimefanya nini tena....lol... Gari pekee halitoshi tena??
Ashadii najua moyo wako unakubaliana na ninachokisema na unajaribu kupindisha ili wanajamvi wapotoke.
Mambo ya kuchonga ni jambo jingine ila my point lazima iwe noted.
I know.... I know... ila hata hivo not fair.....lol