rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
nataka niwape real story imetokea ijumaa,kama kawaida sina mtu permant kama tulivyoongea huko nyuma,lakini ijumaa nilitoka kwenda town kwa dhumuni la kutongoza,nilivaa shati na jeans nikachomekea,lakini nilipofika town hakuna mwanamke aliyegeuza shingo kuniangalia,nikajua hapa hamna kitu,nikarudi home nikabadilisha nikapiga tishirt na kadeti nikachomekea halafu chini nikapiga boot,nilipofika town nikaona wanawake wengi wananiangalia,nikatulia nikajua hapa lazima nikamate kichwa,nikaona cha kwanza nikamsalimia kajibu vizuri akaelekea lakini kakataa kutoa no za simu lakini akachukua business card,nikaona cha pili kikaelekea lakini nacho kikakataa kutoa no lakini kikachukua business card,cha tatu kikakubali kutoa no halafu jana kimeliwa vizuri tu,du kutongoza kazi ndugu zangu.