Kutongoza hakuna formula

dennoo_appliances

Senior Member
Nov 28, 2018
136
190
Kuna bidada mmoja analalamika sana kwamba wanaume wa jamiiforum hawajui kutongoza, lakin anasahau kwamba kila mwanamke kuna vitu anavyovipenda, ambavyo ni tofaut na mwingine. Kwa mantik hiyo unaweza ukatumia mbinu uliyofanikiwa Kwa huyu, ukafel Kwa yule, yaan unaweza mfutata mwanamke serious kabisa akakukataa, Na unaweza enda kimasihara akakukubalia. Hii inatokana na ukweli kwamba haijulikan wanawake wanapenda nini. Wanawake wengi watakuambia nataka mwanaume awe na sifa fulan au napenda vitu fulan lakin ni kinyume, mfano wanawake karibia wote watakuambia wanapenda wanaume wenye hofu ya Mungu, wapole na wastaarabu lakin wengi wao wanapenda wanaume wahun na wala bata ila hawapend kusema, Ukienda wewe mstaarabu unaambulia kibut, kama ni mwanaume usipende kutilia maanan vitu wanavyosema wanawake wa jf na huko mitaani
 
Kuna mwanaume wa dar ambaye hajui tongoza?? Hizi shida znawapata wa mkoani uko..,mnaokuja dar udomo zege mwsho kibaha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Vile vile mapenzi hayana formula, Lulu (Elizabeth Michael )alisema oooh sipendi wanaume weusi kipindi hiko yuko na Ally Kiba sahv kiko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanapenda surprise na adventure hivyo wanaume wanaowapenda ni wale wasiotabilika na full of life ,mwanamke hapendi umuulize eti samahani Leo twende wapi? Anataka uchukue uongozi ,mwambie Leo nataka tukale kitimoto matako bar kisha tutaenda kucheza bend knyama nikupitie sa ngapi?usimuulize eti sjui utakuwa na muda anakuona demu mwenzie wao huwa hawana ratiba anahitajika funny guy kumfurahisha they are qeens.
Wanawake sio wanapenda matajiri big noo,wanapenda wala bata na watu active,demu hata asiekunywa we mwambie nimepanga kuna movie Kali tukaione ila kwanza tutapitia dinner lamada ananusa raha,sio ooh mwili wako unanichanganya stupid unadhani yy hajui bring in some energy nigga,
Kingine Neva fake who you are ,Mara unaogopa kula madafu mbele yake Mara unajifanya huvutagi sigara we wanawake hawajui wanachotaka be you and they will adjust
Hiyo ni kwa uzoefu wangu ,nishatoka na jamaa zangu matozi mezani anataka asimulie story za instagram,big brother,familia ya kardashian etc kisa demu anamuonekano wa kisistaduu huwa naona mademu hawawi free Basi hapo mnyama nakuja na stories zangu za nilipokamatwa nikidokoa mboga,vituko navyokutana navyo kusaka hela ,vibuti vya aibu vilivyowahi nikumba...mwisho demu mwenyewe anavizia anatoa namba na neno lao huwa the only uko so funny ntakutafuta
And last but first Don be so ambitious ,demu ukimtaka akakukataa take easy kuwa naye mshikaji and keep on being you and enjoy life wapo ambao simply hutakaa umpate they are replaceable
 
Wanawake wanapenda surprise na adventure hivyo wanaume wanaowapenda ni wale wasiotabilika na full of life ,mwanamke hapendi umuulize eti samahani Leo twende wapi? Anataka uchukue uongozi ,mwambie Leo nataka tukale kitimoto matako bar kisha tutaenda kucheza bend knyama nikupitie sa ngapi?usimuulize eti sjui utakuwa na muda anakuona demu mwenzie wao huwa hawana ratiba anahitajika funny guy kumfurahisha they are qeens.
Wanawake sio wanapenda matajiri big noo,wanapenda wala bata na watu active,demu hata asiekunywa we mwambie nimepanga kuna movie Kali tukaione ila kwanza tutapitia dinner lamada ananusa raha,sio ooh mwili wako unanichanganya stupid unadhani yy hajui bring in some energy nigga,
Kingine Neva fake who you are ,Mara unaogopa kula madafu mbele yake Mara unajifanya huvutagi sigara we wanawake hawajui wanachotaka be you and they will adjust
Hiyo ni kwa uzoefu wangu ,nishatoka na jamaa zangu matozi mezani anataka asimulie story za instagram,big brother,familia ya kardashian etc kisa demu anamuonekano wa kisistaduu huwa naona mademu hawawi free Basi hapo mnyama nakuja na stories zangu za nilipokamatwa nikidokoa mboga,vituko navyokutana navyo kusaka hela ,vibuti vya aibu vilivyowahi nikumba...mwisho demu mwenyewe anavizia anatoa namba na neno lao huwa the only uko so funny ntakutafuta
And last but first Don be so ambitious ,demu ukimtaka akakukataa take easy kuwa naye mshikaji and keep on being you and enjoy life wapo ambao simply hutakaa umpate they are replaceable
Ulichoongea ni kweli vijana wengi wa kiume hawako real
 
Kuna mwanaume wa dar ambaye hajui tongoza?? Hizi shida znawapata wa mkoani uko..,mnaokuja dar udomo zege mwsho kibaha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyu hapa!
1551864222740.png
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom