BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,372
- 8,108
Unachohitaji kujua:
Kinachosababisha mapenzi/mahusiano kufa wala sio mambo makubwa sana bali ni usimamizi mbaya wa kila siku wa mambo madogo madogo ya maisha. Hayo mambo unayoyaona kuwa madogo ndio mambo makubwa. Mfano, mawasiliano kati yenu, kujali, zawadi za hapa na pale kama maua, pipi, gadgets, aina za vyakula n.k.
Sio mpaka ugombane na mama mkwe au mashemeji na mawifi ukadhani ndiyo mambo makubwa sana ya kuyahofia, hata kutojibu text tu na kufanya kama mwenzako ataelewa uko busy, my friend utaachwa au kuibiwa babe yako mchana kweupe.
Mfano mwingine chukulia wote mnafanya kazi sehemu tofauti, hata mara moja hujawahi kumwambia mpenzi wako "babe umependeza", au leo unanukia vizuri, au babe leo lunch juu yangu", then anafika kazini kwake kuna kajamaa flani kako very active kumchangamkia na kumpa sifa kama zote, unategemea huyu mtu ataendelea kukufikiria wewe ambaye kazi yako ni kumvua tu ch**?
Babe wa ofisini kwa mpenzi wako lazima akusababishie msongo wa mawazo ukiendelea hivo nakwambia.
Badilika!
Kinachosababisha mapenzi/mahusiano kufa wala sio mambo makubwa sana bali ni usimamizi mbaya wa kila siku wa mambo madogo madogo ya maisha. Hayo mambo unayoyaona kuwa madogo ndio mambo makubwa. Mfano, mawasiliano kati yenu, kujali, zawadi za hapa na pale kama maua, pipi, gadgets, aina za vyakula n.k.
Sio mpaka ugombane na mama mkwe au mashemeji na mawifi ukadhani ndiyo mambo makubwa sana ya kuyahofia, hata kutojibu text tu na kufanya kama mwenzako ataelewa uko busy, my friend utaachwa au kuibiwa babe yako mchana kweupe.
Mfano mwingine chukulia wote mnafanya kazi sehemu tofauti, hata mara moja hujawahi kumwambia mpenzi wako "babe umependeza", au leo unanukia vizuri, au babe leo lunch juu yangu", then anafika kazini kwake kuna kajamaa flani kako very active kumchangamkia na kumpa sifa kama zote, unategemea huyu mtu ataendelea kukufikiria wewe ambaye kazi yako ni kumvua tu ch**?
Babe wa ofisini kwa mpenzi wako lazima akusababishie msongo wa mawazo ukiendelea hivo nakwambia.
Badilika!