Wakenya walikuwa standby kusikiliza ICON wa Africa, jiwe na mzee wa Chato amjibu Rais wao..Magufuli kakaa kimya... safi sana.
Waache wajifungue wajipe lockdown wakimaliza tupawapelekea chakula kwa bei kubwa.
Huwezi fungia watu wako wakati unajua kabsa wengi ni hand to mouth..Kenya yenyewe ni Kanchi maskini..watu wake wanaishi kwenye slums.
ATAJIBIWA KWA ACTIONS TU..WAIT AND SEE..
Waache wajifungue wajipe lockdown wakimaliza tupawapelekea chakula kwa bei kubwa.
Huwezi fungia watu wako wakati unajua kabsa wengi ni hand to mouth..Kenya yenyewe ni Kanchi maskini..watu wake wanaishi kwenye slums.
ATAJIBIWA KWA ACTIONS TU..WAIT AND SEE..