herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
Katika pitapita zangu kwenye live score nkakutana na mechi za ligi kuu ya Congo league 1.
Nlichokutana nacho naona ni vichekeshi kuliko hata kwenye ligi yetu, kama inavyoonesha hapo katika msimamo, kunatimu ishacheza mechi saba nyingine ndo kwanza inamechi tatu.
Hizi ndo leveal zetu sasa mambo ya kuanza kutoleana mifano na ligi kuu mara ya uingereza or La liga ni kujionea sisi wenyewe wenzetu wanazaidi ya miaka 50 katika soka washakosea mara kibao mpaka sasa wamesimama, tunalakujifunza toka kwao ila tusitake kufanana nao hata kwa 70% taratibu tutaendelea jifunza na tutafika pale walipo.