Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Habarini JF Doctors!
Nimekuwa natokwa na ute ute angavu (kama maji maji) unaovutika pale ninapoenda haja ndogo. Yapo kama ule ute unaotoka pale mwili unaposisimka sana kihisia mnapokuwa mnaandaana katika mahaba.
Mara nyingi huo ute ute unatoka mwishoni na mara chache mwanzoni.
Hali hii huwa haitokei kila siku bali ni mara chache chache sana.
Je, hii huletwa na nini? Ni tatizo (ugonjwa) au?
Msaada tafadhali.
Nimekuwa natokwa na ute ute angavu (kama maji maji) unaovutika pale ninapoenda haja ndogo. Yapo kama ule ute unaotoka pale mwili unaposisimka sana kihisia mnapokuwa mnaandaana katika mahaba.
Mara nyingi huo ute ute unatoka mwishoni na mara chache mwanzoni.
Hali hii huwa haitokei kila siku bali ni mara chache chache sana.
Je, hii huletwa na nini? Ni tatizo (ugonjwa) au?
Msaada tafadhali.