Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,328
Wakuu ni muda sasa kama miaka miwili natokwa mkojo wa njano nikitumia maji mengi hali hiyo hupotea na pindi naporudia kupinga punyeto hali hiyo hujirudia
Maswal
(1) ni nini madhara ya kutokwa na mkojo kwa muda mrefu?
(2) kuna uhusiano wowote wa punyeto na kutokwa mkojo wa njano kama mgonjwa wa UTI
(3) Ninapokojoa simalizi mkojo wote
NNA MIAKA 6 KWENYE ULIMWENGU WA PUNYETO
NB: Mimi si muhusika, muhusika wa hili ni Rafiki yangu wa karibu
Maswal
(1) ni nini madhara ya kutokwa na mkojo kwa muda mrefu?
(2) kuna uhusiano wowote wa punyeto na kutokwa mkojo wa njano kama mgonjwa wa UTI
(3) Ninapokojoa simalizi mkojo wote
NNA MIAKA 6 KWENYE ULIMWENGU WA PUNYETO
NB: Mimi si muhusika, muhusika wa hili ni Rafiki yangu wa karibu