Kutokwa na mkojo wa njano nini tatizo au madhara yake?

Loftins

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
10,299
13,328
Wakuu ni muda sasa kama miaka miwili natokwa mkojo wa njano nikitumia maji mengi hali hiyo hupotea na pindi naporudia kupinga punyeto hali hiyo hujirudia

Maswal
(1) ni nini madhara ya kutokwa na mkojo kwa muda mrefu?

(2) kuna uhusiano wowote wa punyeto na kutokwa mkojo wa njano kama mgonjwa wa UTI

(3) Ninapokojoa simalizi mkojo wote

NNA MIAKA 6 KWENYE ULIMWENGU WA PUNYETO

NB: Mimi si muhusika, muhusika wa hili ni Rafiki yangu wa karibu
 
Wakuu ni muda sasa kama miaka miwili natokwa mkojo wa njano nikitumia maji mengi hali hiyo hupotea na pindi naporudia kupinga punyeto hali hiyo hujirudia

Maswal
(1) ni nini madhara ya kutokwa na mkojo kwa muda mrefu?

(2) kuna uhusiano wowote wa punyeto na kutokwa mkojo wa njano kama mgonjwa wa UTI

(3) Ninapokojoa simalizi mkojo wote

NNA MIAKA 6 KWENYE ULIMWENGU WA PUNYETO

NB: Mimi si muhusika, muhusika wa hili ni Rafiki yangu wa karibu
C aache punyeto madem wote hawa
 
Wakuu ni muda sasa kama miaka miwili natokwa mkojo wa njano nikitumia maji mengi hali hiyo hupotea na pindi naporudia kupinga punyeto hali hiyo hujirudia

Maswal
(1) ni nini madhara ya kutokwa na mkojo kwa muda mrefu?

(2) kuna uhusiano wowote wa punyeto na kutokwa mkojo wa njano kama mgonjwa wa UTI

(3) Ninapokojoa simalizi mkojo wote

NNA MIAKA 6 KWENYE ULIMWENGU WA PUNYETO

NB: Mimi si muhusika, muhusika wa hili ni Rafiki yangu wa karibu

Hapo zipo sababu mbili:
Inawezekana haunywi maji ya kutosha au una magonjwa ya zinaa.
 
Back
Top Bottom