Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Tuko field porini, rafiki yangu anatokwa na damu wakati wa kukojoa na wakati wa haja kubwa. Tumekwenda kwenye kituo cha afya wamechukua sample ya damu na wanasema majibu mpaka saa 12 jioni, na amechomwa sindano ya kutuliza maumivu. Naogopa kwa sababu kadiri muda unavyokwenda ndivyo jamaa yangu anazidi kunyong'onyea hasa wakati wa kwenda haja ndogo anaishiwa nguvu na anajisikia kama mwili wote unawaka moto. Kwa sasa tunafanya mawasiliano ili apelekwe kwenye hospitali kubwa. Naomba ushauri tafadhali

Ushauri gani zaidi ya kusubiri matokea ya vipimo au kumpeleka hospitali kubwa.
 
Tuko field porini, rafiki yangu anatokwa na damu wakati wa kukojoa na wakati wa haja kubwa. Tumekwenda kwenye kituo cha afya wamechukua sample ya damu na wanasema majibu mpaka saa 12 jioni, na amechomwa sindano ya kutuliza maumivu. Naogopa kwa sababu kadiri muda unavyokwenda ndivyo jamaa yangu anazidi kunyong'onyea hasa wakati wa kwenda haja ndogo anaishiwa nguvu na anajisikia kama mwili wote unawaka moto. Kwa sasa tunafanya mawasiliano ili apelekwe kwenye hospitali kubwa. Naomba ushauri tafadhali


Pole sana.

Lakini kusubirishwa majibu mpaka saa kumi nambili jioni ni kama vile hao madaktari wanataka 'kitu kidogo'.

Wapatie tu mjomba ili angalau upate majibu saa 6 mchana
 
Pole sana.

Lakini kusubirishwa majibu mpaka saa kumi nambili jioni ni kama vile hao madaktari wanataka 'kitu kidogo'.

Wapatie tu mjomba ili angalau upate majibu saa 6 mchana

Unajua amefanya kipimo gani? Kama hujui acha kumpotosha na kuchochea utoaji wa RUSHWA. Kuna vipimo ambavyo huchukua hata wiki.
 
Mpe pole sana mgonjwa.............jitahidini kumpa first aid wakati mnasubiri majibu ya dokta...

by the way uko porini mnapata wapi hospitali kubwa?
 
Mpe pole sana mgonjwa.............jitahidini kumpa first aid wakati mnasubiri majibu ya dokta...

by the way uko porini mnapata wapi hospitali kubwa?

Nashukuru, tunajitahidi kufanya tunaloweza ili apate nafuu, wasiwasi wangu ni kuwa pamoja na sindano alizochomwa hali inazidi kuwa mbaya with time...na kikubwa kilichofanya ni post hapa ni aina ya ugonjwa wenyewe ni kama wa ajabu hivi..naogopa. Tupo kwenye kituo cha afya siyo hospitali kubwa..wakati tunasubiri majibu tunafanya mawasiliano ili tuweze kufika Dar haraka.
 
Nashukuru, tunajitahidi kufanya tunaloweza ili apate nafuu, wasiwasi wangu ni kuwa pamoja na sindano alizochomwa hali inazidi kuwa mbaya with time...na kikubwa kilichofanya ni post hapa ni aina ya ugonjwa wenyewe ni kama wa ajabu hivi..naogopa. Tupo kwenye kituo cha afya siyo hospitali kubwa..wakati tunasubiri majibu tunafanya mawasiliano ili tuweze kufika Dar haraka.

Vip mgonjwa wako anaendeleaje?
 
Ushauri gani zaidi ya kusubiri matokea ya vipimo au kumpeleka hospitali kubwa.

Unajua amefanya kipimo gani? Kama hujui acha kumpotosha na kuchochea utoaji wa RUSHWA. Kuna vipimo ambavyo huchukua hata wiki.

ur so rude jamani hata katika hili..anauliza yote haya kwakuwa anahitaji aone mgonjwa wake anapata nafuu.

I can feel uchungu mgonjwa anaoupata na wewe unaoupata katika kuuguza.
Pole muuguzi, pole na mgonjwa, natumai mgonjwa anaendelea vizuri.
 
habari zenu.leo nimejisaidi haja kubwa pamoja na damu,halafu baada ya mda mfupi niwaka najskia homa homa,na mwili kuuma.tafadhali mwenye kujua tatizo anisaidie.
 
Pole sana, mimi sio doctor, lakini nahisi una tatizo la zile nyama zinazotokeaga sehemu ya haja kubwa, hebu search kwenye hili jukwaa au kwenye google kuna baadhi ya thread zilishazungumzia bawasiri, au hemorrhoids, kwa msaada zaidi nenda hospitalini.
 
Naomben msaada kuna siku nilipata choo kigumu nikapata maumivi nahisi nilichanika sasa tangia hapo nikienda haja kubwa lazma nitokwe na damu hata kama sio choo kigumu nilinunua dawa inaitwa anusol ila bado msaada wenu naomba.
 
Naomben msaada kuna siku nilipata choo kigumu nikapata maumivi nahisi nilichanika sasa tangia hapo nikienda haja kubwa lazma nitokwe na damu hata kama sio choo kigumu nilinunua dawa inaitwa anusol ila bado msaada wenu naomba.
Ingia PM nitakusaidia, utasahau tatizo hilo.
 
kama ulitumi dawa hiyo na haijakusaidia basi nenda katika hosipitali inayo aminika kidogo kabla tatizo halijawa kubwa
 
Utakuwa umechanika ndani kwa ndani nini mkuu kwani ukikaa unaumia vile vile ila muone daktari akushughulia
 
Naomben msaada kuna siku nilipata choo kigumu nikapata maumivi nahisi nilichanika sasa tangia hapo nikienda haja kubwa lazma nitokwe na damu hata kama sio choo kigumu nilinunua dawa inaitwa anusol ila bado msaada wenu naomba.

Tokea lini hili tatizo limeaanza?
 
Pole sana, punguza kula mivyakula migumu.
Usile kabisa mabumunda ya Wakinga, Ugali wa Kisukuma, Makande ya wapare, Macharari ya Wachagga, Mbalaga za Wanyakyusa na ule ugali wa ulezi unaopatikana Singida ni hatari kwa afya ya njia ya haja kubwa
 
Last year ilitokea ila sikuwa natoka damu nyingi kama sasa mana paliweka kidonda ila kuna dawa nilitumia nikapona ila imeanza tena week 2 zilizopita yan damu inadondoka kama nimejikata vile hadi kwenda chooni naogopa sasa dawa natumia ila bado ila kuna dawa ya asili nimeshauriwa ndio naifanyia michakato nikipona nitawajuza.
 
Back
Top Bottom