inauzwa sh. ngapTatizo hilo limenitesa sana tangu 1990. Ni mwaka huu nimepona kwa Tiash Tooth Paste. Jaribuni muone. Dawa nyingi mno nilishatumia bila mafanikio. Vitamini C nilimeza hadi kuchanganyikiwa... Usafi wa meno nilifanya hadi nikahisi watayatoboa. Sasa sijambo!
inauzwa sh. ngap
Yes vina uhusiano mkuu.Kisukari kinatibika tofauti na watu wanavyoaminishwa kwamba hakiponi
Hapana sikohoi mkuu....nipo sawa ktk kukohoa hapanaJe una kohoa sana??
Unahitaji kufahamu damu inatoka sehemu gani, kwenye fizi, meno yenyewe au sehemu gani ya mdomo?Wandugu mimi nina tatizo la kutokwa damu kinywani kila ninapopiga mswaki,yaani nikipiga tu mswaki ile kutema basi natema damu tupu,na wala sisikii maumivu kusema kuwa labda nina vidonda mdomoni.
Nina kawaida ya kupiga mswaki mara mbili kwa siku,yaani asubuhi na usiku kabla ya kulala,tatizo hili limekuwa nalo kwa muda sasa, Je ninaweza kusaidiwaje ili nijue tiba na matatizo haya?
Asante.