Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,267
Jana nilikuwa ninasafiri nilikaa kiti kimoja na mkaka wa ki-Nigeria katika maongezi aliniambia alikuja Tanzania kwa shughuli za biashara. Ukarimu aliokutana nao Tanzania anasema hata usahau. Kila aliyekutana nae alikuwa mcheshi na mkarimu.
Anasema gharama za hoteli alizojipigia kwa wiki mbili hakulipa kwani wenyeji wake walimkaribisha nyumbani kula na kulala bure kwa wiki mbili.
Mwisho alisema nyinyi mna amani kwakuwa hamjapigana vita ya wenyewe kwa wenyewe. Je kuna ukweli hapa?
Anasema gharama za hoteli alizojipigia kwa wiki mbili hakulipa kwani wenyeji wake walimkaribisha nyumbani kula na kulala bure kwa wiki mbili.
Mwisho alisema nyinyi mna amani kwakuwa hamjapigana vita ya wenyewe kwa wenyewe. Je kuna ukweli hapa?