Kutokupigana Vita kwa Ajili ya Uhuru Kumetufanya Watanzania tuwe Mazezeta???

The Khoisan

JF-Expert Member
Jun 5, 2007
15,393
12,977
Wana JF!! nimekuwa kila siku najiuliza tatizo kubwa la Watanzania ni nini lakini bado sipati jibu. Je, inawezekana kwa vile tulipata uhuru wetu kwenye silver plate ndiyo maana watu hawajali au hawana uchungu na nchi yao. Ukilinganisha na nchi nyingi zilizopigana vita kupata uhuru wao, mambo mengi na usanii unaotokea Bongo hauwezi kutokea huko. Just look at Kenya (maumau) halafu uendelee na nchi nyingine luluki. Hata wenzetu wa ZNZ wameamka sana na wako serious na nchi yao ila sisi Bara ndiyo tunawangusha.

Hivi sasa mambo yavyoendelea naona yanakwenda kinyumenyume tu! Baada ya miaka 45 ya Uhuru serikali ya CCM ndiyo kwanza bado inajenga msingi. Sasa hilo paa litaezekwa lini??? Au hizo ndito za TZ kuwa kama Thailand zitakuwa kweli lini?? Naomba kutoa hoja!!
 
Ilichukua miaka mingapi Ujerumani kuendelea?
Usifananishe kuendelea Kwa nchi za ulaya nyingi zilichukua muda mrefu sababu technology alikuwa haijawa hivi ilivyo sasa Nguzo moja kusimamisha ilikuwa unachukuwa mwenzi saizi kusimamisha hiyo Nguzo ni masaa
 
Back
Top Bottom