LEO JIONI JAMAA YANGU YUPO WIZARA YA MAGUFULI KANIAMBIA WAMEKUA OMBAOMBA,
HAWAJAPATA MISHAHARA YA MWEZI NOVEMBER KITU AMBACHO HAKIJAWAHI TOKEA!
nimemwambia pamoja na kutokupata mishahara lakini nawapongeza kwani wanaadhimisha miaka 50 ya uhuru kwa kuwa ombaomba lakini pia hongera zaidi kwani tarehe 9 dec, 2011 watakuwa uwanjani wakiwa wamevaa nguo za kijani na njano wakitembea gwaride na kubeba mabango ya kuisifia serikali ya jk!
wakumbuke kuwa hela zao za mishahara zimekwenda kukimbiza mwenge wa uhuru, kuandaa malazi, kuandaa chakula cha wageni pia kutoa viburudisho kwa wageni siku ya 9 disemba. si wajua babalegelege hukopa hela ili kufanya sherehe watu wale, wanywe, waserebuke?
HAWAJAPATA MISHAHARA YA MWEZI NOVEMBER KITU AMBACHO HAKIJAWAHI TOKEA!
nimemwambia pamoja na kutokupata mishahara lakini nawapongeza kwani wanaadhimisha miaka 50 ya uhuru kwa kuwa ombaomba lakini pia hongera zaidi kwani tarehe 9 dec, 2011 watakuwa uwanjani wakiwa wamevaa nguo za kijani na njano wakitembea gwaride na kubeba mabango ya kuisifia serikali ya jk!
wakumbuke kuwa hela zao za mishahara zimekwenda kukimbiza mwenge wa uhuru, kuandaa malazi, kuandaa chakula cha wageni pia kutoa viburudisho kwa wageni siku ya 9 disemba. si wajua babalegelege hukopa hela ili kufanya sherehe watu wale, wanywe, waserebuke?