Kutokupata hedhi kwa miaka mingi

Bitrus

Member
Jan 8, 2019
37
24
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu
Kama uliambiwa mayai hakuna sidhani kama kuna njia ya kurudisha au kutengeneza mayai me nadhani badala ya kuendelea kupoteza pesa kwa tiba asili na ma hospitali ni vema ukaikubali hali na kutafuta njia ya kupata mtoto za kitaalamu au ku adopt

Vile vile unaweza kuwaona madaktari bingwa wakahakikisha kama kweli mayai hamna au ni tatizo lingine tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mno
Sikufanyi uamini uchawi, ila wenye nguvu zao za Giza wananyonya hayo mayai ili usipate mtoto,
Upo mkoa gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante
Pole sana mkuu
Kama uliambiwa mayai hakuna sidhani kama kuna njia ya kurudisha au kutengeneza mayai me nadhani badala ya kuendelea kupoteza pesa kwa tiba asili na ma hospitali ni vema ukaikubali hali na kutafuta njia ya kupata mtoto za kitaalamu au ku adopt

Vile vile unaweza kuwaona madaktari bingwa wakahakikisha kama kweli mayai hamna au ni tatizo lingine tu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana dadaangu
Mungu ni akutie nguvu

Kuna mambo mengi Kwa binadamu hayawezekani
Kwa Mungu yanawezekana
Utafute Sana uso WA Mungu
Hakika atasikia kilio chako


Nina ushuhuda WA mama Fulani
Alikuwa na Tatizo Hilo na Alikuwa Hana matiti
Lakini Mungu alimfungua mpaka sasa ni mzima kabisa


Mungu wetu
Huanzia ambapo sisi akili zetu zikiwa zimefika mwisho
Yeye ndo anaanza kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana dadaangu
Mungu ni akutie nguvu

Kuna mambo mengi Kwa binadamu hayawezekani
Kwa Mungu yanawezekana
Utafute Sana uso WA Mungu
Hakika atasikia kilio chako


Nina ushuhuda WA mama Fulani
Alikuwa na Tatizo Hilo na Alikuwa Hana matiti
Lakini Mungu alimfungua mpaka sasa ni mzima kabisa


Mungu wetu
Huanzia ambapo sisi akili zetu zikiwa zimefika mwisho
Yeye ndo anaanza kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshawahi kufikiria ku adopt mtoto,hutajutia,ila inaonekana wadada au wamama wengi wa kiafrika hili swala hawalipendi,unakuta mtu msomi na elimu nzuri,pesa na mali anazo,umri unampita hana mtoto kazi kusomesha watoto wa ndugu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mydear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao madaktari walijuaje kama hauna mayai? Walikupima kwa njia ipi hata wao wakajua hivyo?
Kuna maradhi yanaitwa Anemia nayo hufanya ukakosa hedhi pia. Je unazo dalili hizi?
1 Hukosa nguvu
2 Kila wakati unajisikia kulala
3 Unachoka mara kwa mara
4 Huumwa kichwa mara kwa mara
5 Pumzi hupata kwa tabu
6 Maumivu ya kifua
7 Mikono na miguu huwa na baridi sana
8 Ngozi yako hupayuka au huwa na umanjano
 
Hao madaktari walijuaje kama hauna mayai? Walikupima kwa njia ipi hata wao wakajua hivyo?
Kuna maradhi yanaitwa Anemia nayo hufanya ukakosa hedhi pia. Je unazo dalili hizi?
1 Hukosa nguvu
2 Kila wakati unajisikia kulala
3 Unachoka mara kwa mara
4 Huumwa kichwa mara kwa mara
5 Pumzi hupata kwa tabu
6 Maumivu ya kifua
7 Mikono na miguu huwa na baridi sana
8 Ngozi yako hupayuka au huwa na umanjano
Sina Anaemia mkuu...
 
Habari, Nahitaji msaada wenu.

Katika kukua kwangu nilipata hedhi mda mchache ikasimama... Miaka mingi imepita na nilivyofuatilia sana nikaambiwa mayai hamna kabisa. Inaniuma sana kua umri unaenda na sintaweza pata mtoto.

Nimehangaika sana kutafuta tiba hospitalini na tiba asili bila mafanikio. Naomba mwenye ushauri wa ziada anisaidie na kama kuna mtu aliwai kutana na tatizo hili akafanikiwa kupona anisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana dada, muone daktari bingwa but vile vile unaweza kutumia njia masala kupata mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom