Kutokuonekana kwa Diamond Platnumz katika Tamasha la CCM, nikuwaogopa magiant wenzake?

MNYWABUJU

JF-Expert Member
Sep 6, 2018
260
327
Habari wana Jamvi, kwanza niwapongeze wasanii wote walioshiriki Tamasha la CCM- Uwanja wa Uhuru, walifanya vizuri, lakini kutoonekana kwa nyota wa muziki Tanzania Diamond Platinumz katika tamasha ilo nadhani ilikuwa pigo kwa mashabiki zake ambao walienda kutaka kumuona.

Je, aliogopa wasanii wenzake kuonekana wamemzidi, katika perfomance kama angekuwepo?
 
Back
Top Bottom