Nimesikitishwa sana na baadhi ya watanzania wenzangu haswa wa vijijini, yani wanafanya uchaguzi kama mechi ya simba na yanga, hatukomoani hapa, tunasimama juu ya haki kwa kila mtanzania na si sisi wa mjini tuu i.e afya bora, miundo mbinu mizuri, elimu bora kwa wote.ccm sio wazazi wetu na katu hatupati laana kwa kutowachagua.tubadilike watanzania wenzangu.