Kutokuimbwa wimbo wa Afrika Mashariki kwenye hafla ya Rais kupokea ripoti ya madini

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
Noted with concern.
Serikali ilitoa tamko kwamba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zitumike kwenye hafka zote za kiserikali.
Leo imekuwaje kule ikulu kulikuwa hamna cha wimbo wala bendera.
Serikali iliangalie na hilo japo ni dogo ila lina impact kubwa sana. Nchi zingine za Jumuiya popote ukiona bendera ya taifa lazima kuna bendera ya EAC pembeni.
Nawasilisha!
 
Noted with concern.
Serikali ilitoa tamko kwamba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki zitumike kwenye hafka zote za kiserikali.
Leo imekuwaje kule ikulu kulikuwa hamna cha wimbo wala bendera.
Serikali iliangalie na hilo japo ni dogo ila lina impact kubwa sana. Nchi zingine za Jumuiya popote ukiona bendera ya taifa lazima kuna bendera ya EAC pembeni.
Nawasilisha!
Kiwango chako cha kufikiri ndiyo kimeishia hapo?
Watu tunaibiwa halafu wewe unaropoka kama Tundu...!
 
Tunakosa priorities kama Taifa!

One of the mostly cardinal principals in Economics is 'To set priorities", Yaani kipi kianze, kipi kifuate na kipi kimalizie.

Katika sakata la Kupigania uchumi na bendera ya EAC, Je unadhani kipi kinapaswa kuanza kabla ya kingine?.

I'm speechless, we are perish for lack of priorities.
 
Back
Top Bottom