goldcall
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 394
- 535
unajua kama viongozi wetu walizalau covid-19 ilipo kuwa inaingia nchini,mipaka na airport ziliendelea kufanya kazi, viongozi wachache wakatumia covid kama siasa na kushindana na kukashifiana, na hawa ndio viongozi wetu, wenye uelewa na ufahamu wa aina hiyo! ninapata ukakasi kuamini suruhisho la hili jambo naona kabisa hili janga linasambaha kirahisi, lakini halitaondoka kirahisi ifahamike hivyo.
kwa baadhi ya viongozi wetu wenye dhamana kwa namna hili janga linavyo chukuliwa na aina ya mikakati inavyo pelekwa,naona corona itapiga kambi bongo na kuondoka itatusumbua sana, viongozi wenye dhamana, badilisheni mtazamo,hili ni janga tena janga kubwa, ukizingatia janga halina tiba wala kinga, mbaya zaidi hili janga linapiga yeyote, mtoto, kiongozi, waziri, na wengine wengi.
imeisha...
kwa baadhi ya viongozi wetu wenye dhamana kwa namna hili janga linavyo chukuliwa na aina ya mikakati inavyo pelekwa,naona corona itapiga kambi bongo na kuondoka itatusumbua sana, viongozi wenye dhamana, badilisheni mtazamo,hili ni janga tena janga kubwa, ukizingatia janga halina tiba wala kinga, mbaya zaidi hili janga linapiga yeyote, mtoto, kiongozi, waziri, na wengine wengi.
imeisha...