Kuna watu hamjui thamani iliyomo kwenye hifadhi ya taifa, wanyama na misitu!! Kwa mfano ikiwa;
Kupambana na ujangili si suala dogo inatakiwa uwe mzalendo kwelikweli,
TANAPA hawana uwezo Wa kutokomeza ujangili ukiachilia mbali vifaa duni walivyo navyo pia mazingila ya rushwa kwao ni vishawishi vikubwa!
Pamoja na kwamba walinzi Wa TANAPA wanalipwa mishahara mikubwa pengine hadi 2mil Kwa mwezi lakini hiyo haiondoi hali yao ya kutaka zaidi Kwa kupokea chochote na sababu kubwa wanakaa mda mrefu kiasi kwamba wanafahamiana na majangili.
USHAURI WANGU
Kupambana na ujangili siyo kazi ndogo!
Hakuna waziri aliyewahi kutoka maskini kwenye wizara hii labda kigwangala awe Wa kwanza!
Mtakumbuka waziri aliyewahi kaa mda mfupi sana kwenye wizara hii bwana. ANTONY DIALO lakini hakutoka mtupu!
Wizara hii unaweza usipewe Rushwa lakini zawadi pekee tu zinatosha kukutajilisha!
wizara ambayo mtu pekee ambaye halipii huduma getini ni mmasai tu wengine wote wanalipia!
Wawekezaji kwenye biashara hii ni watu wazito akiwemo tajili Wa Dunia BILL GATe.
- Kipande cha jino la tembo thamani yake unapata vitz au subaru kutoka japani
- Kilo moja ya nyama ya simba inafikia hadi 200000 (laki mbili)( wazungu wanakula)
- Kilo moja ya nyama ya mamba inakaribia dola $300-400
Kupambana na ujangili si suala dogo inatakiwa uwe mzalendo kwelikweli,
TANAPA hawana uwezo Wa kutokomeza ujangili ukiachilia mbali vifaa duni walivyo navyo pia mazingila ya rushwa kwao ni vishawishi vikubwa!
Pamoja na kwamba walinzi Wa TANAPA wanalipwa mishahara mikubwa pengine hadi 2mil Kwa mwezi lakini hiyo haiondoi hali yao ya kutaka zaidi Kwa kupokea chochote na sababu kubwa wanakaa mda mrefu kiasi kwamba wanafahamiana na majangili.
USHAURI WANGU
- Serikali itengeneze sheria ngumu, Vifungo vya maisha au miaka thelathini viletwe huku.
- Zifungwe wireless camera maeneo yote ya hifadhi ili kuboresha ulinzi Wa TANAPA Kwa ndani halafi nje ya hifadhi walinde wanajeshi
- Chopa za TANAPA ziletwe za kisasa n.k
Kupambana na ujangili siyo kazi ndogo!
Hakuna waziri aliyewahi kutoka maskini kwenye wizara hii labda kigwangala awe Wa kwanza!
Mtakumbuka waziri aliyewahi kaa mda mfupi sana kwenye wizara hii bwana. ANTONY DIALO lakini hakutoka mtupu!
Wizara hii unaweza usipewe Rushwa lakini zawadi pekee tu zinatosha kukutajilisha!
wizara ambayo mtu pekee ambaye halipii huduma getini ni mmasai tu wengine wote wanalipia!
Wawekezaji kwenye biashara hii ni watu wazito akiwemo tajili Wa Dunia BILL GATe.