Kwa hiyo hapo kuna wataalam wa Quantity Survey? Au ni kunyosha vidole na kuinua macho?
Miradi iliyojengwa mwaka 2016/17/18 mbona haikukaguliwa?
Mwanza waliambiwa Serikali haijatoa pesa ndo maana miradi imesimama. Nikasubiria Diallo amtumbue ambaye alichelewesha pesa lkn wakaishia kuinua macho kwenye paa, kuta, huyoo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.