financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,133
- 40,697
Mi nilivaa kitambo mkuu 2016, ila nilikua namchekia Dogo ndiyo nimekuta ujumbe huo😛weee majuzi tuu ulivaa gauni !!!!!!
Mi nilivaa kitambo mkuu 2016, ila nilikua namchekia Dogo ndiyo nimekuta ujumbe huo😛weee majuzi tuu ulivaa gauni !!!!!!
Yaah huwa wanapata kuna mdogo wangu alipata 65% ..Hivi vyuo visivyo universities lakini wanatoa degree, mfano TIA mikopo wanapata?
Poa bebe najua uli graduate kwa vitombo vingi palE UDBSMi nilivaa kitambo mkuu 2016, ila nilikua namchekia Dogo ndiyo nimekuta ujumbe huo😛
Mmh kwa vinini vingi??😳😳 afu mi nimesoma Must mkuu.Poa bebe najua uli graduate kwa vitombo vingi palE UDBS
hahaha bebe nipo udbs hapa nakula vishuwa bebe avater ako nimeifananisha na baazi bebe ila must hakunaga b.s bebe hahhahahah bebeMmh kwa vinini vingi??😳😳 afu mi nimesoma Must mkuu.
oya dingiii ukifanikisha kukata rufaa nijuze mwambaNawataka waliofanikiwa kukata rufaa
Kuappeal mpaka uende chuoni kwanza Kama hautafika chuo kufanya registration hata ukiappeal haitaleta tija katika maisha yako.
Ndio dingioya dingiii ukifanikisha kukata rufaa nijuze mwamba