Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Jana nilikuwa pale Hoteli ya Holiday In nikivuta subira foleni ipungue, nikasikia tetesi kuwa mashirika ya ndege ya KLM na Emirates wanafanya mazungumzo na uongozi wa Holiday In ili Crews wao wawe wanalala pale na watakuwa wanatumia Chopa (Helicopter) kuruka kutoka Airport hadi Hotelini and vise versa ili kuondokana na adha ya foleni hapa Dar
.
Kwa sasa KLM wanalaza Crews wao Double Tree by Hilton na Emirates wanawalaza Crews wao Kilimanjaro Regency Grand Hiyyat .. zamani iliitwa Kilimanjaro Kempinski
Mwenye News kamili atumwagie..................
Kwa sasa KLM wanalaza Crews wao Double Tree by Hilton na Emirates wanawalaza Crews wao Kilimanjaro Regency Grand Hiyyat .. zamani iliitwa Kilimanjaro Kempinski
Mwenye News kamili atumwagie..................