Kutokana na support anayoipata, Andrew Chenge anaweza kuwa ni Spika ajae na hii itathibitisha CHADEMA walikuwa sahihi kumteua Lowassa kuwa mgombea wao

Japo mini sio kiongozi ndani ya CHADEMA zaidi tu ya kuwa mshabiki wa hiki chama, ninaamini mwaka 2015 CHADEMA walimptisha Lowassa kuwa mgombea wao baada ya kusoma mood ya watanzania na kuwapa kile wanachokitaka. Ninahakika walikuwa sahihi katika maamuzi yao kwani kilichotokea katika kampeni na kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kila mtu leo hii ni shahidi.

Tungekuwa na Tume Huru, basi huenda Lowassa ndie angekuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015. Hivyo, kimsingi CHADEMA kama chama kinachota kushika dola, walikuwa sahihi kuwapa watanzania mgombea waliokuwa wanamtaka, ila kosa lao lilikuwa ni ku-ovelook ukweli kuwa hatuna Tume Huru na kumpokea Lowassa katika mazingira yale ilikuwa ni kufanya kosa la kiufundi.

Yote haya yanatokea kwasababu watanzania ni watu wa kupuuza mambo, wengi ni ma-ignorants, wafuata mkumbo, n.k na ndio maana licha ya CHADEMA kuhubiri kuhusu tuhuma za ufisadi wa Lowassa na viongozi wengine wa CCM, bado tu CCM ilikuwa na nguvu katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.

Haya nayoyasema sasa yanadhihirisha au yanakwenda kujirudia kwa Andrew Chenge, mtu aliekuwa na tuhuma za ufisadi, tuhuma ambazo hazikuwa kuchunguzwa na mhusika kufikishwa mahakamani.Cha ajabu,leo hii ndio mtu anaepigiwa chapuo kuwa Spika na msishangae akachaguliwa kwa kura nyingi tu kama ilivyokuwa kwa Lowassa kupata kura nyingi kwenye uchaguzi wa Raisi mwaka 2015 kuliko mgombea yoyote wa upinzani nchi hii.

Hivyo, Chenge akishinda uspika,basi huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA kama chama kilichokuwa kibaraka kushika dola-, walikuwa sahihi kumteua Lowassa ila kosa lao kubwa lilikuwa ni kupuuza au kusahau ukweli kuwa Tume ya Uchaguzi hakuwa huru.

Kama walioko Bungeni watapuuza tuhuma hizi na kumchagua Chenge kwa kura nyingi, kwanini ushangae kwa watanzania wa kawaida kumshabikia Lowassa mwaka 2015?

Najiuliza kama wanasiasa wa nchi hii watakuwa tena na hofu ya kuwa na tuhuma za ufisadi kama ilivyokuwa kwa Andrew Chenge iwapo atashinda uspika.

Hii ndio Tanzania na watanzania!
Bora ufanye Uganda wa kienyeji. Analysis hujui. Unaongeaga vitu bila kuonesha connection au causality.
 
Japo mini sio kiongozi ndani ya CHADEMA zaidi tu ya kuwa mshabiki wa hiki chama, ninaamini mwaka 2015 CHADEMA walimptisha Lowassa kuwa mgombea wao baada ya kusoma mood ya watanzania na kuwapa kile wanachokitaka. Ninahakika walikuwa sahihi katika maamuzi yao kwani kilichotokea katika kampeni na kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kila mtu leo hii ni shahidi.

Tungekuwa na Tume Huru, basi huenda Lowassa ndie angekuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015. Hivyo, kimsingi CHADEMA kama chama kinachota kushika dola, walikuwa sahihi kuwapa watanzania mgombea waliokuwa wanamtaka, ila kosa lao lilikuwa ni ku-ovelook ukweli kuwa hatuna Tume Huru na kumpokea Lowassa katika mazingira yale ilikuwa ni kufanya kosa la kiufundi.

Yote haya yanatokea kwasababu watanzania ni watu wa kupuuza mambo, wengi ni ma-ignorants, wafuata mkumbo, n.k na ndio maana licha ya CHADEMA kuhubiri kuhusu tuhuma za ufisadi wa Lowassa na viongozi wengine wa CCM, bado tu CCM ilikuwa na nguvu katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.

Haya nayoyasema sasa yanadhihirisha au yanakwenda kujirudia kwa Andrew Chenge, mtu aliekuwa na tuhuma za ufisadi, tuhuma ambazo hazikuwa kuchunguzwa na mhusika kufikishwa mahakamani.Cha ajabu,leo hii ndio mtu anaepigiwa chapuo kuwa Spika na msishangae akachaguliwa kwa kura nyingi tu kama ilivyokuwa kwa Lowassa kupata kura nyingi kwenye uchaguzi wa Raisi mwaka 2015 kuliko mgombea yoyote wa upinzani nchi hii.

Hivyo, Chenge akishinda uspika,basi huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA kama chama kilichokuwa kibaraka kushika dola-, walikuwa sahihi kumteua Lowassa ila kosa lao kubwa lilikuwa ni kupuuza au kusahau ukweli kuwa Tume ya Uchaguzi hakuwa huru.

Kama walioko Bungeni watapuuza tuhuma hizi na kumchagua Chenge kwa kura nyingi, kwanini ushangae kwa watanzania wa kawaida kumshabikia Lowassa mwaka 2015?

Najiuliza kama wanasiasa wa nchi hii watakuwa tena na hofu ya kuwa na tuhuma za ufisadi kama ilivyokuwa kwa Andrew Chenge iwapo atashinda uspika.

Hii ndio Tanzania na watanzania!
Wako wanasiasa ambao ni mafisadi ila hawajatuhumiwa hata CHEMBE.....

Mh.Chenge ametuhumiwa bila ya USHAHIDI kuwekwa mezani....kwa hiyo anabaki kuwa ni mhanga tu wa "allegations"......

Uwezo wake kiuongozi Wala hauna Shaka......
Akili zake nyingi wala hazitupi Shaka......

Binafsi ninatamani kumuona Dr.Tulia akiwa SPIKA wetu.....

#Twende Na Spika Tulia
#Siempre JMT🙏
 
Japo mini sio kiongozi ndani ya CHADEMA zaidi tu ya kuwa mshabiki wa hiki chama, ninaamini mwaka 2015 CHADEMA walimptisha Lowassa kuwa mgombea wao baada ya kusoma mood ya watanzania na kuwapa kile wanachokitaka. Ninahakika walikuwa sahihi katika maamuzi yao kwani kilichotokea katika kampeni na kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kila mtu leo hii ni shahidi.

Tungekuwa na Tume Huru, basi huenda Lowassa ndie angekuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015. Hivyo, kimsingi CHADEMA kama chama kinachota kushika dola, walikuwa sahihi kuwapa watanzania mgombea waliokuwa wanamtaka, ila kosa lao lilikuwa ni ku-ovelook ukweli kuwa hatuna Tume Huru na kumpokea Lowassa katika mazingira yale ilikuwa ni kufanya kosa la kiufundi.

Yote haya yanatokea kwasababu watanzania ni watu wa kupuuza mambo, wengi ni ma-ignorants, wafuata mkumbo, n.k na ndio maana licha ya CHADEMA kuhubiri kuhusu tuhuma za ufisadi wa Lowassa na viongozi wengine wa CCM, bado tu CCM ilikuwa na nguvu katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.

Haya nayoyasema sasa yanadhihirisha au yanakwenda kujirudia kwa Andrew Chenge, mtu aliekuwa na tuhuma za ufisadi, tuhuma ambazo hazikuwa kuchunguzwa na mhusika kufikishwa mahakamani.Cha ajabu,leo hii ndio mtu anaepigiwa chapuo kuwa Spika na msishangae akachaguliwa kwa kura nyingi tu kama ilivyokuwa kwa Lowassa kupata kura nyingi kwenye uchaguzi wa Raisi mwaka 2015 kuliko mgombea yoyote wa upinzani nchi hii.

Hivyo, Chenge akishinda uspika,basi huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA kama chama kilichokuwa kibaraka kushika dola-, walikuwa sahihi kumteua Lowassa ila kosa lao kubwa lilikuwa ni kupuuza au kusahau ukweli kuwa Tume ya Uchaguzi hakuwa huru.

Kama walioko Bungeni watapuuza tuhuma hizi na kumchagua Chenge kwa kura nyingi, kwanini ushangae kwa watanzania wa kawaida kumshabikia Lowassa mwaka 2015?

Najiuliza kama wanasiasa wa nchi hii watakuwa tena na hofu ya kuwa na tuhuma za ufisadi kama ilivyokuwa kwa Andrew Chenge iwapo atashinda uspika.

Hii ndio Tanzania na watanzania!
Wanaogombea uspika ni wanachama wa CCM, ajabu wanaozodolewa kila siku dhiki ya nafasi ya uspikani wanachama wa CHADEMA, hivi chadema imewafanya nini CCM?
 
Japo mini sio kiongozi ndani ya CHADEMA zaidi tu ya kuwa mshabiki wa hiki chama, ninaamini mwaka 2015 CHADEMA walimptisha Lowassa kuwa mgombea wao baada ya kusoma mood ya watanzania na kuwapa kile wanachokitaka. Ninahakika walikuwa sahihi katika maamuzi yao kwani kilichotokea katika kampeni na kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kila mtu leo hii ni shahidi.

Tungekuwa na Tume Huru, basi huenda Lowassa ndie angekuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015. Hivyo, kimsingi CHADEMA kama chama kinachota kushika dola, walikuwa sahihi kuwapa watanzania mgombea waliokuwa wanamtaka, ila kosa lao lilikuwa ni ku-ovelook ukweli kuwa hatuna Tume Huru na kumpokea Lowassa katika mazingira yale ilikuwa ni kufanya kosa la kiufundi.

Yote haya yanatokea kwasababu watanzania ni watu wa kupuuza mambo, wengi ni ma-ignorants, wafuata mkumbo, n.k na ndio maana licha ya CHADEMA kuhubiri kuhusu tuhuma za ufisadi wa Lowassa na viongozi wengine wa CCM, bado tu CCM ilikuwa na nguvu katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.

Haya nayoyasema sasa yanadhihirisha au yanakwenda kujirudia kwa Andrew Chenge, mtu aliekuwa na tuhuma za ufisadi, tuhuma ambazo hazikuwa kuchunguzwa na mhusika kufikishwa mahakamani.Cha ajabu,leo hii ndio mtu anaepigiwa chapuo kuwa Spika na msishangae akachaguliwa kwa kura nyingi tu kama ilivyokuwa kwa Lowassa kupata kura nyingi kwenye uchaguzi wa Raisi mwaka 2015 kuliko mgombea yoyote wa upinzani nchi hii.

Hivyo, Chenge akishinda uspika,basi huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA kama chama kilichokuwa kibaraka kushika dola-, walikuwa sahihi kumteua Lowassa ila kosa lao kubwa lilikuwa ni kupuuza au kusahau ukweli kuwa Tume ya Uchaguzi hakuwa huru.

Kama walioko Bungeni watapuuza tuhuma hizi na kumchagua Chenge kwa kura nyingi, kwanini ushangae kwa watanzania wa kawaida kumshabikia Lowassa mwaka 2015?

Najiuliza kama wanasiasa wa nchi hii watakuwa tena na hofu ya kuwa na tuhuma za ufisadi kama ilivyokuwa kwa Andrew Chenge iwapo atashinda uspika.

Hii ndio Tanzania na watanzania!
Mbona akina riz one makamba wanatuhuma nyingi lakini wapo cabinet na hakuna mtu anahoji,
Hii nchi wenye tuhuma ndo wanapeta, umasikini umetuathiri sana
 
Spika itategemea bi Urojo anamtaka nani, wabunge wa CCM hawana uhuru wa kwenda kinyume na bi Mipasho.
Patatengwa percent kadhaa za kuzuga ili ionekane kana kwamba mchakato hauwi controlled kutokea Magogoni lakini ukweli unajulikana na mengine yote ni maigizo tu.
Usimuite Rais b urojo,angekuwa urojo mungepindua matakwa yake kwenye nafsi ya Spika.

Hakuna wa kwenda kinyume na matakwa ya Rais,kila mtu anafanya Kazi na yule amtakaye,kama mnamtaka mwingine muiteni chumbani kwenu.
 
Mbona akina riz one makamba wanatuhuma nyingi lakini wapo cabinet na hakuna mtu anahoji,
Hii nchi wenye tuhuma ndo wanapeta, umasikini umetuathiri sana
Tuhuma zingine huwa ni mchongo wa kijinga,hai make sense eti kila mali Tzn utasikia ya Riz 1,,huu kama sio ujinga ni nini
 
Hilo usemalo ni kweli kabisa ila Mama akiona wote wanamfaa na akaacha wachuane, nakwambia Chenge ndio atakuwa Spika wa kumrithi Ndugai.
Ccm inapeleka jina moja tu bungeni kwenda kupigiwa kura, na jina hilo ni matakwa ya mama, kama anamtaka Chenge basi Chenge ndio spika mpya na kama anamtaka mwingine ndiye huyohuyo jina lake litapelekwa bungeni kwa ajili ya rubber stamp tu.
 
Spika itategemea bi Urojo anamtaka nani, wabunge wa CCM hawana uhuru wa kwenda kinyume na bi Mipasho.
Patatengwa percent kadhaa za kuzuga ili ionekane kana kwamba mchakato hauwi controlled kutokea Magogoni lakini ukweli unajulikana na mengine yote ni maigizo tu.
Na Mama yako mzazi nae aitwe bibi nani hebu kuwa na adabu japo katiti.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sasa Halima na wenzie watapiga kura ya ndiyo?maana Halima alishawahi kusema kuwa"kwenye kila dili kubwa nchi hii,mzee yupo"
 
Lukuvi angefaa sana lakini kwa bahati mbaya ameisha pigwa mtama na yeye kwa ujinga wake amekubali kupigwa ngwalaa
 
Japo mini sio kiongozi ndani ya CHADEMA zaidi tu ya kuwa mshabiki wa hiki chama, ninaamini mwaka 2015 CHADEMA walimptisha Lowassa kuwa mgombea wao baada ya kusoma mood ya watanzania na kuwapa kile wanachokitaka. Ninahakika walikuwa sahihi katika maamuzi yao kwani kilichotokea katika kampeni na kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kila mtu leo hii ni shahidi.

Tungekuwa na Tume Huru, basi huenda Lowassa ndie angekuwa Raisi wa nchi hii mwaka 2015. Hivyo, kimsingi CHADEMA kama chama kinachota kushika dola, walikuwa sahihi kuwapa watanzania mgombea waliokuwa wanamtaka, ila kosa lao lilikuwa ni ku-ovelook ukweli kuwa hatuna Tume Huru na kumpokea Lowassa katika mazingira yale ilikuwa ni kufanya kosa la kiufundi.

Yote haya yanatokea kwasababu watanzania ni watu wa kupuuza mambo, wengi ni ma-ignorants, wafuata mkumbo, n.k na ndio maana licha ya CHADEMA kuhubiri kuhusu tuhuma za ufisadi wa Lowassa na viongozi wengine wa CCM, bado tu CCM ilikuwa na nguvu katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu.

Haya nayoyasema sasa yanadhihirisha au yanakwenda kujirudia kwa Andrew Chenge, mtu aliekuwa na tuhuma za ufisadi, tuhuma ambazo hazikuwa kuchunguzwa na mhusika kufikishwa mahakamani.Cha ajabu,leo hii ndio mtu anaepigiwa chapuo kuwa Spika na msishangae akachaguliwa kwa kura nyingi tu kama ilivyokuwa kwa Lowassa kupata kura nyingi kwenye uchaguzi wa Raisi mwaka 2015 kuliko mgombea yoyote wa upinzani nchi hii.

Hivyo, Chenge akishinda uspika,basi huo utakuwa ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA kama chama kilichokuwa kibaraka kushika dola-, walikuwa sahihi kumteua Lowassa ila kosa lao kubwa lilikuwa ni kupuuza au kusahau ukweli kuwa Tume ya Uchaguzi hakuwa huru.

Kama walioko Bungeni watapuuza tuhuma hizi na kumchagua Chenge kwa kura nyingi, kwanini ushangae kwa watanzania wa kawaida kumshabikia Lowassa mwaka 2015?

Najiuliza kama wanasiasa wa nchi hii watakuwa tena na hofu ya kuwa na tuhuma za ufisadi kama ilivyokuwa kwa Andrew Chenge iwapo atashinda uspika.

Hii ndio Tanzania na watanzania!
Nadhani Chenge wala hakuwa fisadi kihiiivyo ! Comparing to others of that time ! Ila tu alipotamka vijissenti ikawa nongwa akabebeshwa zigo zito, Chenge ni akili kubwa !!
 
Nadhani Chenge wala hakuwa fisadi kihiiivyo ! Comparing to others of that time ! Ila tu alipotamka vijissenti ikawa nongwa akabebeshwa zigo zito, Chenge ni akili kubwa !!
Halafu kingine ni hiki , pamoja na kwamba hakuna mwanaccm mwema lakini ni bora mwizi Chenge kuliko hili kundi la wauaji na watekaji waliokuja na Jiwe , hawa hawatakiwi kabisa .
 
Ndani ya CCM hakuna msafi, Chenge ana misimamo hata akiwa Mwenyekiti wa bunge tuliona lakini siyo ile takataka sijui Tulia ni aibu kwa taifa
 
Back
Top Bottom