Kutokana na mlipuko wa janga hili la Corona watu mnaofanya 'online Jobs' mtusaidie

Sam pizzo

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
846
515
Wakuu, habari ya majukumu. Kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya COVID-19 duniani, tunaendelea kuona ni nchi nyingi zimeamua kuchukua hatua ya watu kutoruhusiwa kutembea ama kufanya kazi "lockdown".

Naamini kuna watu wanafanya kazi za mitandaoni wanaweza tusaidia ni jinsi gani sisi wengine tunaweza jikwamua na hili janga la kupoteza ajira kwa kujipatia walau kipato kidogo kwa siku endapo Tanzania watakubaliana na hatua iliochukuliwa na nchi mbalimbali "lockdown".


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama wewe ni mdau wa masuala ya elimu, ninazo softcopy za study materials kuanzia shule ya msingi hadi Kidato cha Sita, zote ni softcopy na hizi unaweza uza online na una uwezo wa kumtumia mteja kwa njia ya whatsap au email popote alipo.

Wateja unaweza wapata katika magroup ya whatsap, Facebook (sponsored ads huwa zinafanya vema katika kuvuta wateja), na social media platforms zingine kama endapo bado uhitaji kuingia gharama za kutengeneza website maalum ili kuziuza.

Unaweza tizama hapa chini moja ya tangazo.

-----------------

*STUDY MATERIALS, STUDENTS DATABASE MANAGEMENT SYSTEM, EXCEL TEMPLATES (KWA MATUMIZI YA SHULE) KWAAJILI YA SHULE, WAALIMU NA WANAFUNZI SOFTCOPY SHULE YA MSINGI HADI KIDATO CHA SITA.*

Kwa wamiliki wa shule, website za elimu,na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

EXCEL SHEET TEMPLATES

1.School calendar template (Place important notice, events, and reminders).

2.Grade book worksheet to calculate grades.

3.Library Book Checkout Sheet (Student, Contact Email, Contact Phone, Book Title, Date Borrowed, Date Returned, No. of Days)

4. Home schooling progress record.

5. Personal monthly budget.

6. Weekly Attendance reports.

STUDY MATERIALS (LESSON NOTES, BOOKS, QUESTION AND ANSWERS REVISIONS, PASTPAPERS, PRACTICALS.

🤝Mzazi pia unaweza mchukulia mwanao.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

1. Complete notes from form one to form six all subjects.

BASIC MATHEMATICS, ADVANCED MATHEMATICS, BASIC APPLIED MATHEMATICS, CHEMISTRY, PHYSICS, BIOLOGY, GEOGRAPHY, ECONOMICS, HISTORY, KISWAHILI, GENERAL STUDY, ACCOUNTANCY, COMMERCE, COMPUTER, ENGLISH, CIVICS, BOOK KEEPING, ISLAMIC KNOWLEDGE, BIBLE KNOWLEDGE,

2. Past papers (Exams) with marking scheme (Primary level, O-level and Advance level)

TESTS, MOCK, NECTA, TERMINAL, ANNUAL, PRE-NECTA, PRE-MOCK EXAMS.

+255 752026992

3. COMPLETE SCHEMES OF WORK ALL SUBJECTS (Primary level, O-level and Advance level).

4. POWERPOINT NOTES.

5. LITERATURE ANALYSIS

(PASSED LIKE A SHADOW, UNANSWERED CRIES, SPARED, THE LION AND THE JEWEL, THREE SUITORS ONE HUSBAND ETC)

6. UHAKIKI WA KAZI ZA FASIHI RIWAYA, TAMTHILIA NA MASHAIRI (MALENGA WAPYA, WASAKATONGE, WATOTO WA MAMA NTILIE NA NYINGINE NYINGI)

7. TEXTBOOKS
(Primary level, O-level and Advance level)

BIOLOGY BOOK 2, BIOLOGY BOOK 3, BIOLOGY BOOK 4, PURE MATHEMATICS 1 & 2, CHAND 1 AND 2 PHYSISCS, MAARIFA YA JAMII DARASA LA SITA, LAMBERT CHEMISTRY, QUESTIONS AND ANSWER BOOKS, PRINCIPLES OF PHYSICS, TOPICAL REVISION BOOKS, 1300 MATHS FORMULAS NA VITABU VINGINE VINGI PIA VINAPATIKANA
.
Kwa wamiliki wa shule, website za elimu,na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

8. QUESTION AND ANSWERS REVISON PAMPHLETS (Primary level, O-level and Advance level)

9. Solved practical Questions and answers form one to form six,
physics, chemistry and biology.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Kwa wale ambao wangependa tukutane, tunapatikana Ubungo, Dar es salaam.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

MICROSOFT ACCESS STUDENTS DATABASE MANAGEMENT SYSTEM.

Hii ni Database ambayo ina uwezo wa kufanya yafuatavyo:-

1. Kutunza taarifa kamili za mwanafunzi.

2. Kujaza taarifa za afya ya mwanafunzi, taarifa ya vipimo na maelezo kamili kutoka hospitali.

3. Kujaza taarifa za Mzazi/Mlezi wa kila mwanafunzi
.
4. Kutumia kupata mahudhurio ya wanafunzi wa kila darasa
.
FAIDA ZA DATABASE HII.

1. Kurahisisha ufuatiliaji wa mahudhurio ya wanafunzi.

2. Hauhitaji gharama zozote za ziada katika kuitumia database hii.

4. Ina sehemu ya setting hivyo unaweza kuongeza taarifa zingine zaidi za shule.

5. Ina uwezo wa kujaza taharifa za idadi kubwa ya wanafunzi.

6. Kupunguza gharama za uendeshaji wa shughuli za shule hasa katika kurekodi taarifa za wanafunzi na waalimu.

7. Kurahisisha uwasilishaji wa taharifa katika ngazi za uongozi mashuleni, kwakuwa inamruhusu mwalimu yeyote kupata au kuweka taarifa za mwanafunzi.

Inaweza tumika kwa shule za msingi na sekondari.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

Kwa wamiliki wa shule, website na waalimu ambao watahitaji library nzima, yaani vyote vilivyo katika tangazo hili na mengine tunaweza wasiliana pia.

---------------------------

Kama utakuwa tayari kuifanya, binafsi naweza kuuzia library yangu yote complete ambayo ina vitu vyote vilivyotajwa katika hilo tangazo na mengine pia mengi.

Kazi hii unaweza kuifanya ukiwa popote, unachohitaji ni computer, simu na internet ambayo siyo ghrama sana, yaani unaweza chukua kifurushi cha ttcl GB 3 na ukaingiza kiasi kizuri tu kwa siku.

Kama utakuwa interested na hii Karibu PM kwa maelezo zaidi boss.

Muhimu: Hizo study materials zote zipo softcopy na unaweza wauzia waalimu, wanafunzi, shule na hata wazazi pia wanaweza wachukulia watoto wao. Ni kazi ambayo kama ukiwa serious kabisa, unaweza kuingiza kuanzia 50,000 kwa siku kutegemeana na idadi ya watu wanaokuja kuchukua hivyo kama unaweza kupata idadi ya watu kuanzia 10 tu kwa siku wakanunua vitabu mfano unaweza kuingiza 50+ kutegemeana na bei utakayoweka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom