Kutokana na maji kujaa eneo la Jangwani na Bonde la Mkwajuni, Udart yasitisha Safari za Mabasi yake.

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
IMG_1750.jpg
 
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!
 
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!
acha ushamba wewe, dar umekuja lini? hilo daraja lipo kabla wewe hujazaliwa na kabla ya serikali ya awamu ya pili, tatu nk.
Na hapo jangwani wau walikuwa wana cheza , mpira na hata Papa alipokuja Bongo wakati wa awamu ya pili Misa iliendeshwa hapo.
Lakini leo hii kuna matete nk hivyo kuwa kikwazo cha maji kutembea na mengineo, hapo ni wataalamu kukaa na kuona ni jinsi gani ya kutaua hilo tatizo nasio siasa za ccm vs cdm au za kiongozi huyu vs kiongozi fulani
 
acha ushamba wewe, dar umekuja lini? hilo daraja lipo kabla wewe hujazaliwa na kabla ya serikali ya awamu ya pili, tatu nk.
Na hapo jangwani wau walikuwa wana cheza , mpira na hata Papa alipokuja Bongo wakati wa awamu ya pili Misa iliendeshwa hapo.
Lakini leo hii kuna matete nk hivyo kuwa kikwazo cha maji kutembea na mengineo, hapo ni wataalamu kukaa na kuona ni jinsi gani ya kutaua hilo tatizo nasio siasa za ccm vs cdm au za kiongozi huyu vs kiongozi fulani
Acha kutetea ujinga wa Kifutu,wakati wanatengeza Mwendokasi Waziri husika na mainjinia wazawa wa Tanroads hawakulijua hilo swala la hapo kujaa Maji wakaliiunua hilo Daraja?
 
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!
Hapo Jangwani miaka ya nyuma sana palikuwa pana jaa maji kama unavyoona sasa,ila Kampuni moja ya ujenzji inaitwa Kajima walipanyanua hapo pakawa juu na hiyo shida ikaisha,sasa sijui wamefanya nini wajuzi wa mambo hapo,ile hali imerudia tena kama miaka ile...
 
acha ushamba wewe, dar umekuja lini? hilo daraja lipo kabla wewe hujazaliwa na kabla ya serikali ya awamu ya pili, tatu nk.
Na hapo jangwani wau walikuwa wana cheza , mpira na hata Papa alipokuja Bongo wakati wa awamu ya pili Misa iliendeshwa hapo.
Lakini leo hii kuna matete nk hivyo kuwa kikwazo cha maji kutembea na mengineo, hapo ni wataalamu kukaa na kuona ni jinsi gani ya kutaua hilo tatizo nasio siasa za ccm vs cdm au za kiongozi huyu vs kiongozi fulani
Hujui unachoongea. Unataka wataalamu wakae tena kwa kuwa kuna mapesa ya yasiyo na kazi? Fursa ya utatuzi ndiyo hiyo project ya BRT walipaswa waitumie vizuri lakini waliichezea kwa sababu aliyekuwa waziri wa ujenzi yeye alikalia mambo ya kukurupuka tu na sasa anajiita jiwe! Shame on Maccm yote!
 
Wanajenga daraja Tazara badala ya hapo jangwani
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!
 
Tatizo la hapo litatatuliwa na serikali tu
Haiji akilini mnajenga Tazara mradi kama ule mnawacha sehemu yenye uhitaji kama jangwani
acha ushamba wewe, dar umekuja lini? hilo daraja lipo kabla wewe hujazaliwa na kabla ya serikali ya awamu ya pili, tatu nk.
Na hapo jangwani wau walikuwa wana cheza , mpira na hata Papa alipokuja Bongo wakati wa awamu ya pili Misa iliendeshwa hapo.
Lakini leo hii kuna matete nk hivyo kuwa kikwazo cha maji kutembea na mengineo, hapo ni wataalamu kukaa na kuona ni jinsi gani ya kutaua hilo tatizo nasio siasa za ccm vs cdm au za kiongozi huyu vs kiongozi fulani
 
Acha kutetea ujinga wa Kifutu,wakati wanatengeza Mwendokasi Waziri husika na mainjinia wazawa wa Tanroads hawakulijua hilo swala la hapo kujaa Maji wakaliiunua hilo Daraja?
historically maji hayakuwa yakijaa kukata mawasiliano kati ya mjini na magomeni , zaidi zaidi ni maji kujaa kwa wale waliokuwa wana lazimisha kukaa au kujenga maeneo hayo
 
Hujui unachoongea. Unataka wataalamu wakae tena kwa kuwa kuna mapesa ya yasiyo na kazi? Fursa ya utatuzi ndiyo hiyo project ya BRT walipaswa waitumie vizuri lakini waliichezea kwa sababu aliyekuwa waziri wa ujenzi yeye alikalia mambo ya kukurupuka tu na sasa anajiita jiwe! Shame on Maccm yote!
u don't know nothing kwenye huo mradi na role ya waziri vs other interested parties ktk mradi , shame on U!
 
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!
Nakubaliana na wewe mkuu, daraja la Jangwani lipo chini sana. Ukiangalia yale maji yaliyojaa barabarani yote yameshindwa kupita chini ndio yanatafuta uelekeo mwingine ndio yanarudi mpka pale depot ya mwendo kasi na mengine kupita juu barabarani.

Daraja lingejengwa juu chini kungekuwa na njia ya kutosha kwa maji kupita.
 
Back
Top Bottom