R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Kauli ya john mnyika imeweka wazi kuwa mh zitto kabwe hausiki na waraka huu.
Kwa hoja zifuatazo
1. Waraka tuliopiti hapa jf ni feki
2. Kutokana na kauli ya dk kittlya nkumbo
zitto hausiki kwa namna yoyote kuandaa au kushiriki kuandaa waraka. Ila walikuwa wanategemea kumshawishi zitto kama mm mwaka kesho mwezi wa nne agombee kwa kumuonyesha udhaifu wa uongozi uliopo.
Ni matumaini yetu waraka unamhusu dr na si zitto
watapigana lakini................
Mungu ni mwema
zaburi ya 35
Kwa hoja zifuatazo
1. Waraka tuliopiti hapa jf ni feki
2. Kutokana na kauli ya dk kittlya nkumbo
zitto hausiki kwa namna yoyote kuandaa au kushiriki kuandaa waraka. Ila walikuwa wanategemea kumshawishi zitto kama mm mwaka kesho mwezi wa nne agombee kwa kumuonyesha udhaifu wa uongozi uliopo.
Ni matumaini yetu waraka unamhusu dr na si zitto
watapigana lakini................
Mungu ni mwema
zaburi ya 35