Kutokana na dhiki inayowakabili watanzania hata wakiambiwa kuingia Mbinguni ni elfu 20 Watashindwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
129,581
249,195
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

Screenshot_2025-02-12-16-15-39-1.png


Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Mbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masihara
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Maneno hayo yalisemwa na tambwe hizza miaka 30 iliyopita hakuna jipya wananchi wameendelea kuiamini CCM na kutafuta dona la wana kwa amani!
 
Hayo si Maneno yangu, bali ni Maneno ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche alipokuwa anawahutubia mamia ya Wananchi, akigusia hali ya Uchumi ilipofikishwa na serikali ya ccm

View attachment 3234563

Naunga mkono kauli hii hasa nikiangalia Maisha halisi ya Wananchi wa Tanzania, Wakiwemo Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi ambao hawakuwahi kuongezwa Mshahara kwa miaka 8 sasa.
Kweli kabisa
 
Mbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masihara
Huku wabunge wanajilipa laki 6 kwa siku kama posho + mil 20 kWa mwezi
 
Mbona 20000 ni nyingi kuna vijiji kuchangia 500 kwa mwezi kwa ajili ya kusafisha kisima cha maji mpaka baba wazima wanajificha porini kwa siku kadhaa kwasababu ya kukisa sh 500 ya mwezi, watu ni masikini kweli kweli sio masihara
Ccm ni laana kwa nchi hii!
 
Tusajili majobless mwaka huu nita msadia jobless mwenzangu ngoja nikaze
Kuanzisha jobless ili kuwa Kama utani, but something clicked in my head kuwa Ina weza komboa na kuunganisha watu.

tuki simama vyema chama kina weza toboa parefu.

barikiwa Sana, uta nijuza tuone yupi ni recruitment nzuri itakayo beba na wenzie.

Kwa upande wangu bado namalizia taratibu fulani, tuta juzana.
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
 
Back
Top Bottom