Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,277 9,912 Sep 23, 2021 #1 Mgeni Rasmi, Waziri wa Nishati na Madini Mh. January Makamba, wengine ni naibu waziri wa nishati na Madini
Mgeni Rasmi, Waziri wa Nishati na Madini Mh. January Makamba, wengine ni naibu waziri wa nishati na Madini
Mpinzire JF-Expert Member Jan 18, 2013 7,220 12,937 Sep 23, 2021 #2 Kurunzi said: Mgeni Rasmi, Waziri wa Nishati na Madini Mh. January Makamba, wengine ni naibu waziri wa nishati na Madini Click to expand... Ilo Bomba la mafuta wadau mahususi wako Tanga huko
Kurunzi said: Mgeni Rasmi, Waziri wa Nishati na Madini Mh. January Makamba, wengine ni naibu waziri wa nishati na Madini Click to expand... Ilo Bomba la mafuta wadau mahususi wako Tanga huko
Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,889 Sep 23, 2021 #4 Huo mrafo ni mwaka wa tano huu tunasikia kelele kuwa utazaa ajira na kufaidisha watz na blahblah nyingi sana. Binafsi nimechoka kuusikia.
Huo mrafo ni mwaka wa tano huu tunasikia kelele kuwa utazaa ajira na kufaidisha watz na blahblah nyingi sana. Binafsi nimechoka kuusikia.
F french JF-Expert Member Aug 2, 2017 3,525 3,649 Sep 23, 2021 #5 huu mkutano mbona hawajautangaza wadau wahudhurie