OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,148
- 103,550
Kina mama wameshika tama,hii itakuwa sukari na Vat
Hotuba yake leo mbona iko hovyo hovyp sana? Kwa ufupi haiko organised! Sijui anaogopa kwa vile anachosema na hali halisi ni tofauti?Mgeni rasimi ni Raisi Magufuli.Leo sijui atasema nini tena nyie fuatilieni.
Raisi ndio anaanza kuhutubia sasa(17:22)
Kwa hiyo ulitaka Rais asiwe na mlinzi wake?Yule mlinzi wa kike next to the president namuona hapa je dini inasemaje katika hili? ?
Wanamsikiliza kwa makini Rais waoKina mama wameshika tama,hii itakuwa sukari na Vat
Mkuu, ndio kwanza anaanza kuongea. Anazungumzia umuhimu wa waislam kushirikiana na wasio waislam kudumisha amani ya nchiHotuba yake leo mbona iko hovyo hovyp sana? Kwa ufupi haiko organised! Sijui anaogopa kwa vile anachosema na hali halisi ni tofauti?
Kampa Kampa tenaaaa,...tukutane kununua sukari mtaani.Ni mda wa kumwaga zawadi sasa.2m kwa kijana,2m kwa kikundi
Uwanja wa Taifa pale ni Manji...Ongea kitu ukiwa na taarifa kamili!!Safi sana Rais wangu. Naona sasa unawasemea waislam inavyotakiwa hasa hapa unapoahidi kukomboa mali za waislam zilizochukuliwa kifisadi. Rostam Aziz haponi hasa kwenye lile eneo la karibu na uwanja wa taifa