Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kama ilivyo Ada mashabiki wote wa Yanga sc na Tanzania Prison tutakuwa hapa kupata update ya mtanange mkali kabisa utakaopigwa pale uwanja wa Taifa kwenye mida ya saa 1 kamili usiku,
Kabla ya mechi kuanza nini mtazamo na maoni yako kulekea kwenye mtanange huo na Upi utabiri wako,
=====
Full Time: Yanga 0 - 0 Tanzania Prison
Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa matokeo ya 0-0.
Bernard Morrison anakosa penati dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa ndani ya eneo la hatari.
Sasa Yanga wamebaki katika nafasi ya 3 kwa pointi 39 katika mechi 20.
Matokeo Matokeo mengine ya Ligi Kuu Tanzania Bara #VPL ni:
Mwadui 1-1 Namungo,
Mtibwa 0-1 JKT Tanzania,
Biashara United 1-0 Alliance FC,
Singida United 0-1 Ndanda FC,
Ruvu Shooting 1-0 Mbeya City,
Kagera Sugar 2-0 Mbao FC,
Azam 1-2 Coastal Union.
Simba 1-0 Lipuli
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya mechi kuanza nini mtazamo na maoni yako kulekea kwenye mtanange huo na Upi utabiri wako,
=====
Full Time: Yanga 0 - 0 Tanzania Prison
Mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC dhidi ya Tanzania Prisons katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa matokeo ya 0-0.
Bernard Morrison anakosa penati dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa ndani ya eneo la hatari.
Sasa Yanga wamebaki katika nafasi ya 3 kwa pointi 39 katika mechi 20.
Matokeo Matokeo mengine ya Ligi Kuu Tanzania Bara #VPL ni:
Mwadui 1-1 Namungo,
Mtibwa 0-1 JKT Tanzania,
Biashara United 1-0 Alliance FC,
Singida United 0-1 Ndanda FC,
Ruvu Shooting 1-0 Mbeya City,
Kagera Sugar 2-0 Mbao FC,
Azam 1-2 Coastal Union.
Simba 1-0 Lipuli
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app