King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Akichezesha Taya na BBC, Luten generali kaiula alisema kwamba askari wenye vitambi hawapo physically fits so wamewawekea fitness center kwa ajili ya exercises kwa wale ambao wataonekana kuzembea na kuwa na ndambi watapigwa kalamu nyekundu...Haya Mwema na wewe kazi ni kwako.