Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
- Thread starter
- #141
Inaendelea.....
Baada ya kurudisha mahari yangu na kuchukua Pete yangu, nilikaa Kama miezi 6 hivi nikapata mdada mmoja huko Arusha mmeru Fulani hivi akiwa ndio kamaliza chuo tukaongea akaniomba kwanza nimtafutie japo kazi ili hata maandalizi ya harusi na nini isiwe tabu kunisumbua Mimi kugharamia shughuli zote, Basi kwangu nikaona ni bonge la wazo na kwa sababu ya connection mjini Kama mnavyojua Tena ni kitendo Cha kuagiza tu huyu kesho aje kazini na kupata kazi fasta tu week mtu huyo job.
Kufika job week mbili baadae simu hazipokelewi Mara visingizio vingi sana,kosa kubwa hakujua kuwa kwenye hiyo ofsi hiyo manager ni rafiki yangu tumekulia wote pori tumechunga sana na kuogelea kwenye maji machafu, nikampigia mshikaji simu kwani Kuna Nini huko akaniambia usijali nimpe kazi ya kufuatilia ilichukua siku tatu akanasa kila kitu Hadi kutumiwa video yupo bar anakunywa aisee nusu nizimie yaani, nikapanda Gari Hadi huko nikafika hotelini nikamwita kaja nikamhoji akagoma Tena na kilio na kusema anasingiziwa tu daah nikamwonyesha kila kitu kabaki mdomo wazi ni vilio Tena kuomba msamaha.
Itaendeleaa.....
Baada ya kurudisha mahari yangu na kuchukua Pete yangu, nilikaa Kama miezi 6 hivi nikapata mdada mmoja huko Arusha mmeru Fulani hivi akiwa ndio kamaliza chuo tukaongea akaniomba kwanza nimtafutie japo kazi ili hata maandalizi ya harusi na nini isiwe tabu kunisumbua Mimi kugharamia shughuli zote, Basi kwangu nikaona ni bonge la wazo na kwa sababu ya connection mjini Kama mnavyojua Tena ni kitendo Cha kuagiza tu huyu kesho aje kazini na kupata kazi fasta tu week mtu huyo job.
Kufika job week mbili baadae simu hazipokelewi Mara visingizio vingi sana,kosa kubwa hakujua kuwa kwenye hiyo ofsi hiyo manager ni rafiki yangu tumekulia wote pori tumechunga sana na kuogelea kwenye maji machafu, nikampigia mshikaji simu kwani Kuna Nini huko akaniambia usijali nimpe kazi ya kufuatilia ilichukua siku tatu akanasa kila kitu Hadi kutumiwa video yupo bar anakunywa aisee nusu nizimie yaani, nikapanda Gari Hadi huko nikafika hotelini nikamwita kaja nikamhoji akagoma Tena na kilio na kusema anasingiziwa tu daah nikamwonyesha kila kitu kabaki mdomo wazi ni vilio Tena kuomba msamaha.
Itaendeleaa.....
Ahsante mkuu naendeleaDaahh endelea Mkuu nimesoma mwanzo mwisho aiseee huu n muujiza mkuu na nimejifunza vtu vingi sana kwanza uvumilivu, Heshima kumuheshimu kila mtuu na kikubwa zaid n kumtanguliza M/Mungu kwa kila kitu unachokifanya endelea mkuuu tafazal