Kutoka na Ebitoke, ni uthibitisho kuwa Ben Pol hana swaga

Mwisho wa siku watamwagana..kama nadanganya wapeni miezi 6 tuuu af mrejee huu uzi...mapenzi tena mwanamke ndo kaanzisha afu yako mitandaoni kila uchao,Subutuuuu
Mapenzi yanadumu ikiwepo privacy na kama it's a man's idea..mwanamke ukifosi kingi jiandae mbeleni mana mwanaume hajakupenda we ndo umependa
 
Bila kumungunya maneno huyu demo ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na Mwanaume kuingia mzimamzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuw na swags kwa mademu wakali Wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Mwanamke hutengenezwa. Hivyo ben anaweza kumtengeneza ebitoke na akawa kimbilio.
 
_20170707_083957.JPG

Haya mambo ya ni ya kuyaacha kama yalivyo kwa sababu:-
1.Ni mambo binafsi sana ya mtu/watu na huwa na faragha.
2.Suala la kupenda ni mtazamo wa mtu
3.Hii awam si ya KUPANGIANA
 
Bila kumungunya maneno huyu demo ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na Mwanaume kuingia mzimamzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuw na swags kwa mademu wakali Wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.

Wanawake hampendani.. Sijui kwanini sijui
 
Hakuna bint mbaya kikubwa ni matunzo tu, ebtoke akitulia na kuridhika utamsahau mkuu, wanawake wengi unaowasema Kwamba ni wakali wazuri na wenye hadhi make up ndio inawatoa hakuna chochote unataka uchanganyikiwe? Oa hao Utaona ata kazi kama utafanya na wao hawapo nyuma matunzo yakikushinda aaaah utabaki na labda mkuu
 
Bila kumungunya maneno huyu demo ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na Mwanaume kuingia mzimamzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuw na swags kwa mademu wakali Wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.

Mkuu tengua kauli yako samahani maana hapo umemkufuru muumba wetu kwani alisema ametuumba sote kwamfano wake sasa unapo sema nimbovu duh!....misimo
 
Huyu mwanadamu gani huyu anayeweza ku-qualify binadamu wabaya na wazuri? Binadamu gani huyu anayewachagulia wenzake wazuri na wabaya.

Tatizo watanzania wengi ni vichaaa na malimbukeni, hawana kitu lakini wamejaa dharau kwa binadamu wenzao.

This is a serious mental case. Ebu tujiongeze watanzania. Acheni kudiscuss vitu visivyo na tija.
 
ebitoke unamfananishaa na dada ako yupi.manake dada zako hata hawatizamiki yupi anauefanan na ebitoke achaa dharau ebitoke ana ubayaa gani??watu wengine bwana.kwanza huyo ben naye hana lolote mchicha mwibaa tu tunomjuaa huwa twacheka kwa dharau
ni bwabwa nini?
 
Bila kumungunya maneno huyu demo ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na Mwanaume kuingia mzimamzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuw na swags kwa mademu wakali Wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Haya nenda wewe ukawe na Ben Pol maana una hadhi!
 
Back
Top Bottom