ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
Kabla sjachangia chochote je ana tako?
Sasa anakalia nini??
Kabla sjachangia chochote je ana tako?
Sasa anakalia nini??
Acha wivu kila mtu ana haki ya kupenda na kupendwa
Aliyeleta huu uzi hawezi kuwa mwanaume....amini nakuambia hizo za mleta uzi na kila alicholeta vinaqualify kuwa mwanamke tena mjamzito wa kujifungua miezi miwili au hata mmoja tokea alete huu uzi.
Mwanaume gani unaumbea wa kikekike na mbaya zaidi unamwonea wivu mtoto wa kike kupigwa dudu na bernad paulo....acha hizo kama kweli unataka kuwa wa kiumeni.nijutoe hofu kuwa aliyeleta Uzi ni mwanaume
Huyoooo aliyezaaa tutusa kazaaa mwanadanuPingana na ukweli tu kwani hao uliowataja walitangaza kuwa ni bikra? Very irrelevant! Ukiona mwanamke anaitangazia Dunia ni bikra hastahili kupewa hiyo heshima, Hakuna sehemu niliyosema ukiwa barmaid haufanikiwi? Namuheshimu Mama yako mkuu ingawa amezaa Tutusa
Kwani wanawake wakali ni wepi?. Ebitoke kajiona mkali ndiyo maana kamchomoa huyo hata wewe angekuchomoa tu ila kaona huna inshu.
Yule binti anajitambua na usidhani Ben. Pol atamzingua. Kama huwajui wahaya kakojoe ulale ama muulize dktr. Slaa ana majibu.
Ukwel upi, hana haki ya kupendwa? Au ndo ile ukiwa star basi lazma uwe na dem mkaliii ambaye unajua kabsa malengo yako nae hayatatimia zaid ya show offs tuSiyo dharau Mkuu, Mimi nimesema ukweli tu
Yaelekea dada yako kamwagwa,uguza maumivu tu! alitakalo Mola mwanadamu atasubiri sana.Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Asingekuwa mkali usingepoteza muda wako kumjadili, umemkubali ndiyo maana unamjadili. Mwanamke mkali anayejitambua hupanga atoke na nani siyo kupangiwa. Kapanga kutoka na Benpol na kafanikiwa.teh teh teh teh ana ukali gan sasa huyo? kweli wabongo mnajuwa kufariji
Ulitaka Benpol atoke na wewe?Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Kama mama yako mkali kamwambie akamtongoze Benpolteh teh teh teh ana ukali gan sasa huyo? kweli wabongo mnajuwa kufariji
mungu alituumba wote kwa mfano wake tuache kudharauliana ww mtoa post ni mbaguzi tu unapenda kuweka matabaka big up ben pour