Kutoka na Ebitoke, ni uthibitisho kuwa Ben Pol hana swaga

Aliyeleta huu uzi hawezi kuwa mwanaume....amini nakuambia hizo za mleta uzi na kila alicholeta vinaqualify kuwa mwanamke tena mjamzito wa kujifungua miezi miwili au hata mmoja tokea alete huu uzi.

nijutoe hofu kuwa aliyeleta Uzi ni mwanaume
 
Pingana na ukweli tu kwani hao uliowataja walitangaza kuwa ni bikra? Very irrelevant! Ukiona mwanamke anaitangazia Dunia ni bikra hastahili kupewa hiyo heshima, Hakuna sehemu niliyosema ukiwa barmaid haufanikiwi? Namuheshimu Mama yako mkuu ingawa amezaa Tutusa
Huyoooo aliyezaaa tutusa kazaaa mwanadanu
Heri mama unayeona amebarikiwa kuliko...wanawake wote Hata chizi ana mama
 
Wanasema.duniani hapa...hata umuone...demu...mkali vipi kuna.mwanaume...au...wanaume...wanamuona wa kawaida sana na..kwa...nyakati...tofauti waliuchoka..utupu wake.
 
Kwani wanawake wakali ni wepi?. Ebitoke kajiona mkali ndiyo maana kamchomoa huyo hata wewe angekuchomoa tu ila kaona huna inshu.
Yule binti anajitambua na usidhani Ben. Pol atamzingua. Kama huwajui wahaya kakojoe ulale ama muulize dktr. Slaa ana majibu.

teh teh teh teh ana ukali gan sasa huyo? kweli wabongo mnajuwa kufariji
 
Kwani huyu Ben Pol mwanamke wake aliyezaa nae yuko wapi?.. basi mimi nilidhani yeye na Ebitoke wanafanya mzaha tu....kama ni kweli basi hatari namna hii.
 
mungu alituumba wote kwa mfano wake tuache kudharauliana ww mtoa post ni mbaguzi tu unapenda kuweka matabaka big up ben pour
 
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Yaelekea dada yako kamwagwa,uguza maumivu tu! alitakalo Mola mwanadamu atasubiri sana.
 
teh teh teh teh ana ukali gan sasa huyo? kweli wabongo mnajuwa kufariji
Asingekuwa mkali usingepoteza muda wako kumjadili, umemkubali ndiyo maana unamjadili. Mwanamke mkali anayejitambua hupanga atoke na nani siyo kupangiwa. Kapanga kutoka na Benpol na kafanikiwa.
Huo ndiyo ukali wenyewe. Hata wewe angekuamlia usingechomoka labda kama unatokea sayari ya Mars. In short binti ni mzuri mengine tumwachie yeye.
Leo hii yuko mitandaoni zaidi anatengeneza pesa hawezi kuzinguliwa na mtu. Chezea wahaya wewe. Kwenye mapenzi ndiyo fani kuu akikuinulia bango huchomoki. Uliza Slaa aliko sasa hivi kaacha siasa kisa mama wa kihaya.
 
Bila kumungunya maneno huyu demu ni mbovu na hana kiwango cha kutoka na Ben Pol. Kitendo cha kujiliza kwenye vyombo vya habari kuwa anampenda Ben na mwanaume kuingia mzima mzima bila kuchelewa hata sekunde ni dalili za msanii huyu kutokuwa na swags kwa mademu wakali wa kibongo bali anasubiri kuonewa huruma na mademu wabovu na wasio na quality kama Ebitoke.
Ulitaka Benpol atoke na wewe?
Nenda kamwambie kama alivofanya Ebitoke huenda akakufikiria.
 
Ebitoke!
Kiboko ya maduu wote mjini...Hahaaa kawakamata pabaya sana huyu manzi anajua timing ya kupata anachokitaka.
Halafu Ben Pol ni mjanja sana...anajua maana ya huu usemi "mwanamke akikupenda atakupa maisha ya furaha sana na kukufanya ujisikie mwenye amani wakati wote".
Yote kwa yote kila mtu na wake hakuna alozaliwa aishi peke yake na Ebitoke kajipatia wake!
 
Back
Top Bottom