Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,995
Mhh kweli hii nchi inaoza kama aijaoza..yule mwenyekiti wa bodi aliieiua AIRTANZANIA bwa ALI MUFURUKI ati ndie mkurugenzi wa wakurugenzi wa sekta tanzania....huyu bwana kilichomwondoa ilikuwa ni aibu mbele ya watu nakumbuka kabla ya kuondoka pale alikuwa akila na jamaa mmoja ambae walifikia ndege imearibika kidogo badala ya kutengeneza wanakimbilia kuita ya kukodishwa toka s.africa na inatua kama sio asbh mchan..baada ya hapo inakaa hata siku 5 ....mpaka kumi ujue mpaka ten perc yao iingie ndio waniachia ndege...baya zaidi ni kile kitendo kichaambacho kilimshtua hata BWM.... WAKATI SOUTH AFRICAN airways WANAJITOA serikali ilipata mfadhili wa kuleta ndege;zilikuwepo zile ndege mbili zilizokodishwa south africa..sasa moja ilikuwa ishaenda yaani kurudishwa nyingine ikawa inamuda wa wiki moja kurudishwa gafla ikarudishwwa kabla ya muda....,baada ya hapo ukatungwa mkataba wa ununuaji ndege;ambapo katika REGISTRATION NO...zilionekana za zile zile ndege mbili zilizokuwepo...lakini kwenye mkataba inaonyesha ni ndege zinanunuliwa ireland na zilikuwa zikifanya safari za uko...huyo ndio MFURUKI...sasa najiuliza mtu wa namna hii alietaka kuchapisha mkataba wa kuleta ndege feki tulizolalamikia na kurudishwa south then wzipeleke ireland.......................,......then zirudishwwe dar...mhh huyu ndie mfururki...