Kutoka misa Saint Joseph Cathedral: Kuhusu kusherehekea kuisha kwa Covid19

client3

JF-Expert Member
Aug 6, 2007
2,332
3,152
Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.

Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
 
Huo ndiyo ukweli mchungu! Corona bado ipo ipo sana. Na kwa huu utaratibu mpya wa kufichiwa taarifa, ndiyo kwanza wananchi tunatakiwa tuongeze umakini kweli kweli.
 
Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.

Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
 
Mimi nilijiandaa kuparty nimeshtuka sana kusikia kumbe bado ipo!
Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
 
Hiyo chizi atakayefuata ushauri wa mtu kama Makonda aisee kichwani atakuwa taabani sana. Unaanzaje kufuata ushauri wa kipumbavu kama ule? Emb tumieni akili walau za darasa la kwanza kwa jambo hili zitakupa muongozo.
Ushauri wa Makonda upo kiroho, unaeuchukulia kimwili huwezi kumwelewa!
 
Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.

Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
.
IMG-20200523-WA0026.jpg


Jr
 
Padre amewataka waamini waendelee kufuata maelekezo kama yalivyotolewa na Waziri wa Afya tangu awali.

Na kwamba kama Kanisa bado hawajatoa tamko wataendelea hivyo mpaka uongozi utakavyotoa malekezo zaidi, Pia amesisitiza waamini wawe makini Corona bado ipo.
Angalau Kanisa Katoliki linaongozwa na wasomi na mambo yake pia huwa ya kisomi ukilinganisha na makanisa ya akina bashite. Mungu yupo, hapendi ujinga, chukua tahadhari, mwombe lakini pia tumia akili na rasilimali alizokupa, usimjaribu Bwana Mungu wako.
 
Back
Top Bottom